Panachosha mno aiseeDaah 2000 haitoshi hata nusu ya nyama.
Mkulima ili ale kilo ya nyama inabidi auze debe 4 za Mahindi.
Hadi nasikia huruma, kulima panachosha sana na returns ndiyo kama hizi haziridhishi.
Wapi huko mkuuHuku kwetu mahindi debe 1 ni Tsh 2000/=
Mchele super debe ni Tsh 25000/=
Serikali ifungue mipaka vinginevyo wakulima hata mitaji ya kununua mbolea itakuwa shida!
Au
Serikali ikimaliza kununua korosho inunue na nafaka hizo zingine.
Mmh.PolenilMbinga
Na baadhi ya sehemu za Mbozi bei ni hiyo.
Hivi debe la kawaida linapokuwa limejaa mahindi linakuwa na kilo ngapi ili tuangalie bei kwa kilo? Na pia debe moja la mchele uwa ni kilo ngapi likijaa?Mwanza debe 8000
Ndugu unaweza kunisaidia kujibu maswali haya:Gunia la kg 100,kwenye Soko la mahindi,SODECO,mjini songea ni sh.18,000/
Kwa mazao ya aina zote mbili yaani mahindi na mchele?Debe moja kawaida lina kilo 20 tu......
Sio dhamira yake kuu! Dhamira yake kuu ni kujua sehemu ulipo mazao hayo ni bei gani na kama mtu anaweza kununua anunue kutoka sehemu ambayo mazao hayo anaona yatamlipa!Huu Uzi una kila dalili ya uchonganishi/uchokozi/kukatishana tamaa,,,,
MWISHO!