kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,564
Kuna mjadala niliukuta mahali jana kuwa ni lazima kuzindika biashara na kwamba asilimia 90 ya biashara hapa bongo mfano wenye maduka huwa wanazindika biashara zao
Haya maneno sikuyaamini kwamba kila biashara au kila frem ninayoiona kila mmiliki keshatembea kidogo
Nikasema mbona ni asilimia kubwa sana?Maana kulingana na wanavyoongea ni kwamba ni jambo ambalo limekua kama la lazima hivi
Binafsi nikiri ukweli kuwa hata mimi nimefanya hivyo, japo maeneo niliyoweka frem hapana changamoto yoyote ila nilishauriwa na jamaa angu mmoja nifanye hivyo nikafanya lakini naona ni kawaida tu kwangu wala sioni maajabu yoyote ni miaka 2 sasa imepita
Swali kwa mnaomiliki biashara jee kuna ukweli?Jee umezindika biashara yako ili watu wasikuchezee au mambo ya chuma ulete?
Haya maneno sikuyaamini kwamba kila biashara au kila frem ninayoiona kila mmiliki keshatembea kidogo
Nikasema mbona ni asilimia kubwa sana?Maana kulingana na wanavyoongea ni kwamba ni jambo ambalo limekua kama la lazima hivi
Binafsi nikiri ukweli kuwa hata mimi nimefanya hivyo, japo maeneo niliyoweka frem hapana changamoto yoyote ila nilishauriwa na jamaa angu mmoja nifanye hivyo nikafanya lakini naona ni kawaida tu kwangu wala sioni maajabu yoyote ni miaka 2 sasa imepita
Swali kwa mnaomiliki biashara jee kuna ukweli?Jee umezindika biashara yako ili watu wasikuchezee au mambo ya chuma ulete?