KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,156
Huyo ndiye mtunga sheria sasa.Nchi kuzubaishwa na CV ya gwajiboi vina mahusiano gani?
Huyo ndiyo "Opinion leader" kwa enzi hizi..., "influencer" ambaye akina Magufuli wasingeamua jambo bila kumsikiliza; huenda hata mama anasikiliza si anasema yeye na Magufuli....
Sasa amekwishasema chanjo ya COVID-19 ni majaribio; tena kazungumzia Bungeni, hata Samia akitumia sauti ya u-malkia, bado kutakuwepo na watu wengi sana watakaomsikiliza Dr Gwaji!
Bado huelewi tu niendelee
Kwa hiyo sijui hilo swali lako unaliona vipi!