Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 194
Ni Bilionea Wa Arusha Anamiliki Makampuni Kazaa Yanayogawa Ajira Kwa Vijana Wengi Mjini Hapa Pia Anashiriki Katika Kutoa Misaada Mbalimbal Ya Kijamii Mkuu
Huu ndio upuuzi ambao unanifanya niichukie Ccm kuliko kitu chochote na wagombea wake.
Yaani mmefirisi viwanda vyingi kama vya mkonge, General tyre, Shirecu n.k vijana wakakosa ajira ili waje kuwa watumwa kwenye makampuni yenu ya kifisadi. Leo mnataka kutumia hilo gape kupatia madaraka! Bado mmeharibu mfumo mzima wa elimu ili wanetu warndelee kulamba zero wa kwenu wako ughaibuni na baadae tukawe watumwa wao!!
Hata ashuke malaika, ama Yesu ama mtume Muhammad S.A.W akagombea ccm hakyaMungu simpi kura yangu, sembuse huyo unaemsema!!