Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
- Thread starter
-
- #61
Umeshakuwa maarufu mkuu kwa kuandika uzi wenye point kali kiasi hiki. Mnara wa Askari utolewe uweke wa kwako tafadhali.
KWAKWELI, HATA MIMI NDIVYO NIONAVYO😅😅😅Aisee kama sio kivuruge mi namuona mpya kila saa
True unakuta mtu hamtunzi mke wake hamjali halaf at the same time amemkataza kufanya Kaz kisa alee watoto na hela ya matumiz haitoshi hapo bado hajampa stress za michepuko,unakuta mmama watu yupoyupo tu Hana Nuru usoni.mwanamke akitunzwa huwez kumchoka
Hata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu
Mimi nataka kuolewa ,but kila mtu anaishi nyumbani kwake . Watu wengi wananiambia haiwezekani, ehh mi naamini familiarity breeds contempt! Mleta mada yupo sahihi...
Hii ni kweli aisee ndio maana mashemeji hawachoshi maana hupigi kila siku ni mpaka chance ipatikane
Wee jamaa kama umeoa basi hakuwa chaguo lako. Mazingira, utoto au kukosa umakini ulipelekea kuangukia kwa huyo! Mke wako ni kama mwili wako mwenyewe! Utachokaje mwili wako? Mke wako unammiss kila dakika! Lazima ujue yuko wapi na usalama wake! Zaidi ya yote lazima awepo kitandani wakati wa kulala 'that is where she belong'. Wale wanaowachoka wake zenu jua kuna mahali mmekwama
Eti huwa mnatuchoka ee booo!!!, Wakati huwa mnatulilia.
Ukimpenda kweli kwa dhati hawezi kukuchosha.
Ukikaa nae likikuzoea linaanza kujiachia achia hata halivutii tena
Chanzo cha kuchoshana vikuri kutothaminiana neno asante haipo.yaani kuna ndoa ni mfekane war
KWAKWELI, HATA MIMI NDIVYO NIONAVYO
Kazi kweli kweli, ila waweza hangaika mwisho wa siku hamna jipya ila upendo wa kweli ndio una matterNdo akashauri wapeane likizo ili kurudisha hamasa
Mkuu nyie huwa tunawavumilia tu siku ziende na unakuta hamugegedi vizuri wala hamjui kujali twasogeza siku, so kumpata binadamu full package ni ngumu vumilianeni siku ziende za kuishi duniani.Yes!sema sisi wanaume ndio huwa tunawachoka zaidi
Hahahahaaaaa. Tuko pamojaKWAKWELI, HATA MIMI NDIVYO NIONAVYO
Wanawake ndo huwa wanalilia mikuyenge yetu.Wanaume gani wakiwaki wanaolilia papuchi?
Hapo ndipo utaona faida ya kuwa na mke zaidi ya mmoja.Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!
Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!
Kuishi na mwanamke nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!
Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.