Tuache unafiki tuseme ukweli

Tuache unafiki tuseme ukweli

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!

Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!

Kuishi na mwanamke nyumba moja, chumba kimoja, kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!

Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!
Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!
Kuishi na mwanamke nyumba moja,chumba kimoja,kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!
Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Uwe unabadilisha na mazingira ya kulala na mkeo wakati mwingine unaenda hotelini au msafiri hata Wkend mnaenda mkoa fulani inaleta hamasa, hafu usiache show za nje zinaleta ufanisi nyumbani
 
Uwe unabadilisha na mazingira ya kulala na mkeo wakati mwingine unaenda hotelini au msafiri hata Wkend mnaenda mkoa fulani inaleta hamasa, hafu usiache show za nje zinaleta ufanisi nyumbani
Hapo mwishoni umeharibu bwana. Unamshaurije mwenzako achepuke??

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Uzi wa kizembe huu....

Ukigongewa mke unyamaze kimya. Mpe thamani yake uone kama utamchoka..... Unless uwe na matatizo yako binafsi.

Mke ili anoge mtunze vzr kuanzia lishe mavazi, nywele na ngozi. Utakuja kuwaomba mods wabadilishe title ya hii thread
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!
Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!
Kuishi na mwanamke nyumba moja,chumba kimoja,kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!
Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Aisee kama sio kivuruge mi namuona mpya kila saa
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!
Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!
Kuishi na mwanamke nyumba moja,chumba kimoja,kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!
Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Umeshakuwa maarufu mkuu kwa kuandika uzi wenye point kali kiasi hiki. Mnara wa Askari utolewe uweke wa kwako tafadhali.
 
Uzi wa kizembe huu....

Ukigongewa mke unyamaze kimya. Mpe thamani yake uone kama utamchoka..... Unless uwe na matatizo yako binafsi.

Mke ili anoge mtunze vzr kuanzia lishe mavazi, nywele na ngozi. Utakuja kuwaomba mods wabadilishe title ya hii thread
True unakuta mtu hamtunzi mke wake hamjali halaf at the same time amemkataza kufanya Kaz kisa alee watoto na hela ya matumiz haitoshi hapo bado hajampa stress za michepuko,unakuta mmama watu yupoyupo tu Hana Nuru usoni.mwanamke akitunzwa huwez kumchoka
 
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua!
Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba mke anachosha jamani duh!
Kuishi na mwanamke nyumba moja,chumba kimoja,kitanda kimoja yaani itafika kipindi utamchoka hata wakati wa sex utaona kama unapiga push up tu!
Mwanaume tuwe na tabia ya kusafiri mara kwa mara mke ukikaa nae siku zote 365 za mwaka utamchoka sana na kumchukia bure.
Kinachochosha kwenye ndoa nyingi sio kuzoeana tu , bali na majukumu tunayopewa wanaume wa ki afrika kama baba wa nyumba.
Unaeza kuingia home. Ukakuta msululu wa matatizo na yote yanakusubiri wewe baba , hapo lazima ukinai nyumba na watu wake.
 
Back
Top Bottom