Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

Mimi sio mchumi ila Wachumi hebu tusaidieni kutuelimisha, kuna dhambi gani kufungua FD ili hizo kiduchu ulizopewa zizaliane angalau kukidhi mahitaji ukilinganisha na kuzihifadhi tuu BOT ambako hazizalishi hata sentí moja?!.

Kwa uzoefu wangu mara zote pesa zinazoombwa hua haziji zote, tumeshuhudia MSD katika robo ya kwanza wamepata fedha chini ya 50% kwa zile walizoomba pamoja na sekta nyingi tu za serikali. Kwa Mantiki hiyo kila idara, mkurugenzi na mkuu wa kitengo ambaye atapokea fedha za serikali kutoka katika bajeti ya serikali ambayo imepitishwa na Bunge basi ajiongeze kwa kuziweka kwenye FD ili aweze kukamilisha shughuli.
 
hata kama kuna faida na faida ilikuwa inaenda TRA ingawaje hatuna jibu hili la msingi
Magufuli mara nyingi amepiga marufuku public institutions kuweka pesa za walipa kodi kwenye mabenk ya kibiashara. Sasa kwa nini TRA ilikiuka haya maelekezo? tuanzie hapo

Hivi kama benki za biashara zinatiliwa mashaka kiasi hicho, wakati ziko chini ya usimamizi wa benki kuu si afadhali zikafungwa tukabaki na benku kuu yenyewe??!!

Hilo tatizo la taasisi kufungua FD kwa nini lisiwekwe wazi kuliko kushikilia tu ilikatazwa?!
 
Mkuu paskali mayala! Kwa Mara ya kwanza nimekusoma sijakuelewa!
Utamwelewa pindi ikipita miezi 2 au 3 bado hakuna Unafuu wa maisha na mzunguko wa pesa ukizidi kuwa dhaifu, ndipo utabaini hizo sinema ni za kuwahadaa wananchi tu lakini pesa yote inaingia huku inatokea upande wa pili kwa Wajanja wachache waliobuni mladi mkubwa wa kudhoofisha ukawa na Upinzani kwa ujumla.
 
Pesa inayopotea sasa kwa kazi haramu za kudhoofisha Ukawa ni kubwa kuliko hizo pesa kwani tokea waanze kusema wameokoa mapesa mengi kuna unafuu gani wa maisha? Viwanda sasa vinakufa mabenk yanadhoofika, Hizo pesa endapo zingekuwa zinatumika kwa maendeleo nina uhakika thamani ya shilingi dhidi ya dola ingepanda lakini cha Ajabu pesa nyingi inakwenda kwa Madalali wa siasa za Maji taka na lipumba.
Mimi sio MwanaSiasa na ninaichukia Siasa, kwa hiyo naomba Kama unataka tujadiliane na kuelimishana usiniweke kwenye makundi. Jenga hoja tujadiliane kwa Hoja na vigezo.
 
Siasa inapoendesha wachumi......

Mtu hana kozi hata ya 3month kuhusu uchumi lakini anawaelekeza maprofesor Wa uchumi kwa amri..........

Mtu hajawai kufanya biashara yeyote ikafaamika anazifundisha bank jinsi ya kufanya biashara.............

Economic crisis inatukabiri mazuzu yanashangilia utumbuaji Wa majibu ya kutafuta media publicity.......
Kuna watu mnajua kuchambua alooo
 
Pascal Mayalla , kwa msemo wa yule mpemba wa chanel 10 kuhusu maendeleo aliesema " hilo halitaki tochi" kwani hali ya umasikini iko wazi.
Na hili la bank kuu halihitaji tochi ya wachumi...
Shirika la umma linapoingiza fedha ni kwa ajili ya maendeleo yake. Serikali kama share holder inachotakiwa kufatilia ni ufanisi, na uwazi ...shirika likifanya vizuri serikali inapata dividend yake.
Kuweka fedha kwenye mabanki ya binafsi kuna faida zake ikiwamo hii ya kuweka FD na kupata faida.
Sasa hivi interest ya FD ni kati ya 10% mpaka 14% kwa mwaka.
Hii inajulikana iko wazi na hutangazwa na mabenki .
Hivyo mashitika yenye nguvu kama NSSF au hata TRA wakiweka 100billion katika fixed deposit tayari hilo shirika lina jihakikishia kupata 14b kila mwaka kama faida..ya interest..ni fedha inayotosha kulipa mishahara na matumizi ya ofisi zao na chenji ikabaki. Huku mtaji wake ukabaki pale pale.
Hii ni faida kubwa kwa mashirika . Kinachotakiwa kwa serikali ni kuweka utaratibu unao eleweka na mashatti ya interest ili kuziba ma deal anayo zungumzia Mkuu.
Faida nyengine ni kuzipa nguvu Bank zetu kifedha na uwezo wa kukopesha . Uwezo wa mabanki wa kukopesha ukiwa mkubwa , maana yake new investements, new business start up , na pia upanuzi wa biashara zinazoendelea. Na matokeo yake ni more ajira, more kodi nk.
hizo ndio faida kubwa.

Sasa jee ukiamua kuziweka BOT kuna faida yoyote...? Ukweli hamna
BOT haitoi faida yoyote, labda kama umenunua TB . Na ununuzi huu wa bonds sio kila siku, BOT hufanya hivyo pale tu kunapkkua na deficit katika mapato ya serikali hivyo hutoa TB ili kupata fedha kuziba pengo hilo.
Sasa BOT inaweza kutumia pesa hizi wakati ikihitaji, na mashirika yenyewe yatashindwa kupata pesa kwa wakati kama inahitaji fedha kwa ajili ya miradi yake ...
Hasara ya pili ni kuondoa hizo fedha kwenye mzunguko wa kiuchumi na kuupeleka kwenye mzunguko wa matumizi ...yaani hizo fedha kutumiwa na Govermt kulipa madeni na mishahara...lakini haziingii kuanzisha biashara wala investments nyengine.
Kwa maana nyengine kuweka Bot ni sawa na kuziweka kwenye godoro..
 
Mh. Rais keshasema hataki kuona hela ya serikari kwenye hizo fixed depost au benki za biashara, fulstop! . Sasa mnajadili nini? hili ni suala la utekelezaji tu kwa wanaohusika ni bora kutekeleza badala ya ku argue.
Issue hapa hela zinawezaje kurudi kwa watu wa kawaida? au Wafanyabiashara? BoT Hawawezi kugawa hazina ya serekali!! Kwani ni risk!! Ila mwenye uwezo wa kuchukua hiyo risk ni mabank ya biashara!! Niambie michango ya nssf na pspf ziko pale bank kuu zitawezaje kurudi kwenye mzunguko? Njia pekee ni kuweka kwa risk takers na hao ni mabank ya biashara, cha muhimu ni hela za taasisi husika ziwe mahali salama na sio kwa nini wameweka bank x au y, Ila cha muhimu utaratibu uandaliwe ili faida itokanayo irudi kwa taasisi kama huo utaratibu haukuwepo!! Na watu wa kipato cha chini wajue ndio hivyo wanatengwa na kipato cha kusurvival
 
Wakati serikali inaupungufu wa pesa za matumizi wewe unaweka kwenye fixed deposits??? Kama mradi bado muda wake hizo pesa wapewe idara zingine watumie kwenye matumizi mbalimbali ya maendeleo!!
Wafadhili wengi pesa zinazobaki mwaka X zinakuwa "treated" kama malipo ya mwaka Y. Serikali nayo iwe inafanya hivyo kwamba shirika likibakiwa na pesa inapunguzwa kwenye bajeti yao ya mwaka unaofuata
 
Wanabodi,

Tuliwahi kusema humu, Tanzania inachohitaji sio a one man show, bali tunahitaji an effective system, yaani mifumo imara na thabiti. Ukiishakuwa na mfumo imara, kila kitu kinakuwa outomated, chochote kitakachofanyika out of system kinakuwa detected automatically na kuwa evicted, hivyo hakutakuwa hata na haja ya kutumbua tumbua, once the system is there, anyone who goes against, anakuwa evicted out of system automatically hivyo anajitumbua mwenyewe kwa ku fall out of system.

Mimi sio mchumi ila Wachumi hebu tusaidieni kutuelimisha, kuna dhambi gani kufungua FD ili hizo kiduchu ulizopewa zizaliane angalau kukidhi mahitaji ukilinganisha na kuzihifadhi tuu BOT ambako hazizalishi hata sentí moja?!.

Mwezi Julai nilifanya mahojiano na CAG Prof.Musa Assad kuhusu kupigwa panga kwa budget ya CAG. Kumbe sio ofisi ya CAG pekee bali wizara zote na idara zote zimepepigwa panga na kupewa only 40% ya mahitaji yake ya kibajeti.

Sasa kama TRA imepewa hicho kidogo kisichotosheleza mahitaji, menejmenti ikajenga hoja kwenye bodi wafungue FD ili hicho kidogo kiongezeke kupunguza nakisi, hili ni jambo jema na linafanyika kwa nía njema, kuna ubaya gani, kuna ubaya gani? .

Hivi ni kweli ile FD ya TRA imefunguliwa ili bodi na menejmenti waziibe hizo interest? !. Mimi siamini ndio maana nasisitiza Tanzania we need effective systems zenye maximum transparency na sio hizi one man show zinazoendelea sasa.

Kwa vile Mkuu sio mchumi, ila amezungukwa na wasaidizi ambao ni wachumi waliobobea wanaojua wazi kwamba he is not doing the right thing na wameamua kulinyamazia hili na kukaa kimya, huku wakimwacha afanye anavyotaka kwa kumuogopa tuu, wajue ni wao ndio watakaohukumiwa kwa sababu wao ndio wanaojua na huyo mtendaji yeye hatahukumiwa

Kwa sababu kila analolifanya analifanya kwa nía njema huku kumbe masikini wa watu, usikute hata hajui atendalo kwenye uchumi na kwa sababu hajaambiwa, yeye hana kosa. Sekta binafsi yenye nguvu ndio injini ya uchumi wowote imara, sekta binafsi nchini iko kwenye hati hati ya ku collapse huku sote tukiitwa ni wapiga dili. Hivi kweli kila mwenye kilio cha hali ngumu ya uchumi ni mpiga dili?!.

Kama issue ni mabenki binafsi kutengeneza faida kwa fedha za umma, then BOT wafungue kitengo cha BOT Commercial Bank, hizo pesa za taasisi za umma zinazokula kiyoyozi tuu pale strong room ya BOT, ili zisiote uvundo, zifunguliwe FD ili zizalishe interest, na sisi sekta binafsi turusiwe tukakope BOT turudishe fedha kwenye mzunguko.

Vinginevyo hata hii Tanzania ya viwanda ni hadithi tuu, hata serikali ikitegemea capital injection ya uchumi wa viwanda itoke kwenye FDI, bila a strong private sector, hiyo raw materials ya kushibisha uchumi wa viwanda itoke wapi? .

Wachumi jitokezeni mtuelimishe maana sisi wengine sio Wachumi maana naona kwa Tanzania kila kitu ni siasa, siasa ni siasa, jamii ni siasa hata uchumi sasa ni siasa! . Tuachage siasa kwenye mambo mengine jameni sisi huku mitaani tunaumia, tunapigika kweli kweli!.

Paskali.
Mkuu kuna mambo mawili ama hawamshauri vizuri Rais au Rais anawapuuza na wao wameamua kukaa mezani kwa ajili ya kula

Na adabu ya kula haitaki mtu aongee hivyo tunaoonekana tupo nje ya meza ya chakula tunaposema hali ni mbaya wanatuita wapiga dili
 
Niko pamoja na mtanzania 1989 kuunga mkono uamuzi wa Dk. Magufuli.

Mosi, mkuu alikataza account za uchochoroni, tuelewe hivyo watanzania wenzangu.

Pili, secta kama tra isitegemee kuwa tajiri (uchumi mkubwa) ikiwa sekta nyingine hazina kitu ukizingatia Tanzania kuna secta za kutoa tu huduma kama secta ya elimu. Mfano huwezi jenga gorofa na kujaza ma BMW katikati ya kijiji chenye nyumba za nyasi afu ukajifanya umeendelea.

Tatu, ni kweli tra wakiweka pesa yao benk watapata faida kwa vile benki ITAWAZALISHIA faida. Mfano, million 1 ikizalisha laki 1, benk watachukua elf 70 na tra elf 30. Hivyo tra watakuwa na mil 1.03. Kwa secta kama elimu inapungukiwa pesa ya uendeshaji mil 1, inaenda
kukopa benk kwa kurudisha riba ya laki 1, itatakiwa kurejesha mil 1.1.
Tujiulize selikali ile ile sekta ya tra imepata faida ya elf 30 lakini secta ya elimu imelipa riba ya elf 100. Hapo pana faida kwa serikali au hasala??!!!

Nne, wakati mwingine tutategemea mabenk ya biashara kuja BoT kukopa pesa za serikali kwenda
kuzungushia na kutuletea faida (hapo baadae sana)tofauti na serikali moja kuwa na acc nyingi.
Tano, wakati mwingine secta flani hushindwa kutoa huduma muhimu kwa mda pale inapojikuta haina pesa, na kuhofia kukopa benki kwa riba kubwa. Ikiwa tra wameweka pesa zao mafichoni, lakini kama pesa iko bot ni rahisi sana kutoa huduma kwa mkopo wa 0%.
Sita, mkuu wa nchi alisema, na lengo lake kubwa ni kuondoa ile hali ya serikali kupitia wizara ya afya kwenda benki kukopa pesa yake yenyewe tena kwa riba kubwa kutoka serikali kupitia TRA.
 
Wanabodi,

Tuliwahi kusema humu, Tanzania inachohitaji sio a one man show, bali tunahitaji an effective system, yaani mifumo imara na thabiti. Ukiishakuwa na mfumo imara, kila kitu kinakuwa outomated, chochote kitakachofanyika out of system kinakuwa detected automatically na kuwa evicted, hivyo hakutakuwa hata na haja ya kutumbua tumbua, once the system is there, anyone who goes against, anakuwa evicted out of system automatically hivyo anajitumbua mwenyewe kwa ku fall out of system.

Mimi sio mchumi ila Wachumi hebu tusaidieni kutuelimisha, kuna dhambi gani kufungua FD ili hizo kiduchu ulizopewa zizaliane angalau kukidhi mahitaji ukilinganisha na kuzihifadhi tuu BOT ambako hazizalishi hata sentí moja?!.

Mwezi Julai nilifanya mahojiano na CAG Prof.Musa Assad kuhusu kupigwa panga kwa budget ya CAG. Kumbe sio ofisi ya CAG pekee bali wizara zote na idara zote zimepepigwa panga na kupewa only 40% ya mahitaji yake ya kibajeti.

Sasa kama TRA imepewa hicho kidogo kisichotosheleza mahitaji, menejmenti ikajenga hoja kwenye bodi wafungue FD ili hicho kidogo kiongezeke kupunguza nakisi, hili ni jambo jema na linafanyika kwa nía njema, kuna ubaya gani, kuna ubaya gani? .

Hivi ni kweli ile FD ya TRA imefunguliwa ili bodi na menejmenti waziibe hizo interest? !. Mimi siamini ndio maana nasisitiza Tanzania we need effective systems zenye maximum transparency na sio hizi one man show zinazoendelea sasa.

Kwa vile Mkuu sio mchumi, ila amezungukwa na wasaidizi ambao ni wachumi waliobobea wanaojua wazi kwamba he is not doing the right thing na wameamua kulinyamazia hili na kukaa kimya, huku wakimwacha afanye anavyotaka kwa kumuogopa tuu, wajue ni wao ndio watakaohukumiwa kwa sababu wao ndio wanaojua na huyo mtendaji yeye hatahukumiwa

Kwa sababu kila analolifanya analifanya kwa nía njema huku kumbe masikini wa watu, usikute hata hajui atendalo kwenye uchumi na kwa sababu hajaambiwa, yeye hana kosa. Sekta binafsi yenye nguvu ndio injini ya uchumi wowote imara, sekta binafsi nchini iko kwenye hati hati ya ku collapse huku sote tukiitwa ni wapiga dili. Hivi kweli kila mwenye kilio cha hali ngumu ya uchumi ni mpiga dili?!.

Kama issue ni mabenki binafsi kutengeneza faida kwa fedha za umma, then BOT wafungue kitengo cha BOT Commercial Bank, hizo pesa za taasisi za umma zinazokula kiyoyozi tuu pale strong room ya BOT, ili zisiote uvundo, zifunguliwe FD ili zizalishe interest, na sisi sekta binafsi turusiwe tukakope BOT turudishe fedha kwenye mzunguko.

Vinginevyo hata hii Tanzania ya viwanda ni hadithi tuu, hata serikali ikitegemea capital injection ya uchumi wa viwanda itoke kwenye FDI, bila a strong private sector, hiyo raw materials ya kushibisha uchumi wa viwanda itoke wapi? .

Wachumi jitokezeni mtuelimishe maana sisi wengine sio Wachumi maana naona kwa Tanzania kila kitu ni siasa, siasa ni siasa, jamii ni siasa hata uchumi sasa ni siasa! . Tuachage siasa kwenye mambo mengine jameni sisi huku mitaani tunaumia, tunapigika kweli kweli!.

Paskali.
habari
nadhani kabla hajutaanza kulaumu upande wowote ule ni vizuri kuelewa nini maana ya FIXED DEPOSIT,then faida na hasara zake
Wanabodi,

Tuliwahi kusema humu, Tanzania inachohitaji sio a one man show, bali tunahitaji an effective system, yaani mifumo imara na thabiti. Ukiishakuwa na mfumo imara, kila kitu kinakuwa outomated, chochote kitakachofanyika out of system kinakuwa detected automatically na kuwa evicted, hivyo hakutakuwa hata na haja ya kutumbua tumbua, once the system is there, anyone who goes against, anakuwa evicted out of system automatically hivyo anajitumbua mwenyewe kwa ku fall out of system.

Mimi sio mchumi ila Wachumi hebu tusaidieni kutuelimisha, kuna dhambi gani kufungua FD ili hizo kiduchu ulizopewa zizaliane angalau kukidhi mahitaji ukilinganisha na kuzihifadhi tuu BOT ambako hazizalishi hata sentí moja?!.

Mwezi Julai nilifanya mahojiano na CAG Prof.Musa Assad kuhusu kupigwa panga kwa budget ya CAG. Kumbe sio ofisi ya CAG pekee bali wizara zote na idara zote zimepepigwa panga na kupewa only 40% ya mahitaji yake ya kibajeti.

Sasa kama TRA imepewa hicho kidogo kisichotosheleza mahitaji, menejmenti ikajenga hoja kwenye bodi wafungue FD ili hicho kidogo kiongezeke kupunguza nakisi, hili ni jambo jema na linafanyika kwa nía njema, kuna ubaya gani, kuna ubaya gani? .

Hivi ni kweli ile FD ya TRA imefunguliwa ili bodi na menejmenti waziibe hizo interest? !. Mimi siamini ndio maana nasisitiza Tanzania we need effective systems zenye maximum transparency na sio hizi one man show zinazoendelea sasa.

Kwa vile Mkuu sio mchumi, ila amezungukwa na wasaidizi ambao ni wachumi waliobobea wanaojua wazi kwamba he is not doing the right thing na wameamua kulinyamazia hili na kukaa kimya, huku wakimwacha afanye anavyotaka kwa kumuogopa tuu, wajue ni wao ndio watakaohukumiwa kwa sababu wao ndio wanaojua na huyo mtendaji yeye hatahukumiwa

Kwa sababu kila analolifanya analifanya kwa nía njema huku kumbe masikini wa watu, usikute hata hajui atendalo kwenye uchumi na kwa sababu hajaambiwa, yeye hana kosa. Sekta binafsi yenye nguvu ndio injini ya uchumi wowote imara, sekta binafsi nchini iko kwenye hati hati ya ku collapse huku sote tukiitwa ni wapiga dili. Hivi kweli kila mwenye kilio cha hali ngumu ya uchumi ni mpiga dili?!.

Kama issue ni mabenki binafsi kutengeneza faida kwa fedha za umma, then BOT wafungue kitengo cha BOT Commercial Bank, hizo pesa za taasisi za umma zinazokula kiyoyozi tuu pale strong room ya BOT, ili zisiote uvundo, zifunguliwe FD ili zizalishe interest, na sisi sekta binafsi turusiwe tukakope BOT turudishe fedha kwenye mzunguko.

Vinginevyo hata hii Tanzania ya viwanda ni hadithi tuu, hata serikali ikitegemea capital injection ya uchumi wa viwanda itoke kwenye FDI, bila a strong private sector, hiyo raw materials ya kushibisha uchumi wa viwanda itoke wapi? .

Wachumi jitokezeni mtuelimishe maana sisi wengine sio Wachumi maana naona kwa Tanzania kila kitu ni siasa, siasa ni siasa, jamii ni siasa hata uchumi sasa ni siasa! . Tuachage siasa kwenye mambo mengine jameni sisi huku mitaani tunaumia, tunapigika kweli kweli!.

Paskali.
habari wandugu
nadhani kabla ya kutoa ya moyoni mwetu ni vizuri tungeelewa maana ya FIXED DEPOSIT,faida zake na hasara zake...alafu hizo hela zilizowekwa zilikuwa na matumizi gani?zingeleta manufaa gani kwenye jamii kama zingetumika, zimeleta hasara gani kwa kuhifadhiwa katika FIXED DEPOSIT. in short tungetumia SWOT ANALYSIS
kwa matamshi ya Raisi nilivyoelewa na alivyosema hela zilitolewa kwa matumizi.sasa kama hizo hela za matumizi zikachukuliwa na kuwekwa katika FIXED DEPOSIT ACCOUNT basi Raisi alikuwa na haki ya kuvunja body ile
kwa haraka haraka...FIXED DEPOSIT..mara nyingi hutoa riba kubwa kuliko SAVINGS ACCOUNTS tatizo kubwa la fixed deposit ni muda..maana zina maturity period na hii utegemea na hawa watu waliweka kwa muda gani hizo hela katika fixed deposit na vitu gani havikufanyika kwa muda huo ambavyo vilitakiwa kufanyika.
Tatizo kubwa nilililo liona ni uwazi wa jambo hili maana kama hizo hela zinaweza kuwekwa fixed mwezi,miezi mitatu,miezi sita au mwaka....kama waliweka fixed in more than six month kuna weza kuwa ni kosa maana lazima ku-ignore vitu vingine visifanyike ili kupata riba ya kuwa compounded kwa kipindi hicho.
 
Mh.Raisi yupo sahihi sana tena kama kuna mtu anaita hiyo fixed deposit afanyie hela zake na si za serikali nukta.Na bado wale wanaitwa T.E.A waliokabidhiwa Prof. awatumbue hata leo coz Elimu ina mapungufu makubwa ikiwa ni pamoja na Uendeshaji wake watu wanaweka hela za maendeleo hayo fixed deposit si waweke za kwao???wanakera sana

Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Tuliwahi kusema humu, Tanzania inachohitaji sio a one man show, bali tunahitaji an effective system, yaani mifumo imara na thabiti. Ukiishakuwa na mfumo imara, kila kitu kinakuwa outomated, chochote kitakachofanyika out of system kinakuwa detected automatically na kuwa evicted, hivyo hakutakuwa hata na haja ya kutumbua tumbua, once the system is there, anyone who goes against, anakuwa evicted out of system automatically hivyo anajitumbua mwenyewe kwa ku fall out of system.

Mimi sio mchumi ila Wachumi hebu tusaidieni kutuelimisha, kuna dhambi gani kufungua FD ili hizo kiduchu ulizopewa zizaliane angalau kukidhi mahitaji ukilinganisha na kuzihifadhi tuu BOT ambako hazizalishi hata sentí moja?!.

Mwezi Julai nilifanya mahojiano na CAG Prof.Musa Assad kuhusu kupigwa panga kwa budget ya CAG. Kumbe sio ofisi ya CAG pekee bali wizara zote na idara zote zimepepigwa panga na kupewa only 40% ya mahitaji yake ya kibajeti.

Sasa kama TRA imepewa hicho kidogo kisichotosheleza mahitaji, menejmenti ikajenga hoja kwenye bodi wafungue FD ili hicho kidogo kiongezeke kupunguza nakisi, hili ni jambo jema na linafanyika kwa nía njema, kuna ubaya gani, kuna ubaya gani? .

Hivi ni kweli ile FD ya TRA imefunguliwa ili bodi na menejmenti waziibe hizo interest? !. Mimi siamini ndio maana nasisitiza Tanzania we need effective systems zenye maximum transparency na sio hizi one man show zinazoendelea sasa.

Kwa vile Mkuu sio mchumi, ila amezungukwa na wasaidizi ambao ni wachumi waliobobea wanaojua wazi kwamba he is not doing the right thing na wameamua kulinyamazia hili na kukaa kimya, huku wakimwacha afanye anavyotaka kwa kumuogopa tuu, wajue ni wao ndio watakaohukumiwa kwa sababu wao ndio wanaojua na huyo mtendaji yeye hatahukumiwa

Kwa sababu kila analolifanya analifanya kwa nía njema huku kumbe masikini wa watu, usikute hata hajui atendalo kwenye uchumi na kwa sababu hajaambiwa, yeye hana kosa. Sekta binafsi yenye nguvu ndio injini ya uchumi wowote imara, sekta binafsi nchini iko kwenye hati hati ya ku collapse huku sote tukiitwa ni wapiga dili. Hivi kweli kila mwenye kilio cha hali ngumu ya uchumi ni mpiga dili?!.

Kama issue ni mabenki binafsi kutengeneza faida kwa fedha za umma, then BOT wafungue kitengo cha BOT Commercial Bank, hizo pesa za taasisi za umma zinazokula kiyoyozi tuu pale strong room ya BOT, ili zisiote uvundo, zifunguliwe FD ili zizalishe interest, na sisi sekta binafsi turusiwe tukakope BOT turudishe fedha kwenye mzunguko.

Vinginevyo hata hii Tanzania ya viwanda ni hadithi tuu, hata serikali ikitegemea capital injection ya uchumi wa viwanda itoke kwenye FDI, bila a strong private sector, hiyo raw materials ya kushibisha uchumi wa viwanda itoke wapi? .

Wachumi jitokezeni mtuelimishe maana sisi wengine sio Wachumi maana naona kwa Tanzania kila kitu ni siasa, siasa ni siasa, jamii ni siasa hata uchumi sasa ni siasa! . Tuachage siasa kwenye mambo mengine jameni sisi huku mitaani tunaumia, tunapigika kweli kweli!.

Paskali.
That is true.

Sent from my Z4 using JamiiForums mobile app
 
Sasa wewe unaongea au unapiga kelele? Mawlimu wako wa muandiko hakukufundisha kutumia kwa kuwasiliana herufi kubwa ni "kupiga kelele"?

Hakika shule ulisomea ujinga.
WEWE MWENYEWE UMEKOSEA BADALA YA KUANDIKA MWANDIKO UMEANDIKA muandiko( CAPITAL LETTERS HAS NOTHING DO WITH REALITY)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom