Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mh Samia Suluhu Hassan...
Mh Samia amepokea kijiti baada ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Magufuli kilichotea tarehe 17 March mwaka huu
Toka Mh Rais Samia Suluhu amepokea kijiti tunaona kwa nafasi yake kama Rais wa awamu ya sita anakuja kutibu majeraha ya serikali zote ambazo zimetangulia...
Kila Rais ambaye amepita kwa nafsi yake alikuwa na mifumo yake pamoja na taratibu zake
Kwahiyo Mh Rais Samia Suluhu Hassan nae anakuja na mifumo yake na taratibu zake ili mwisho wa siku aje ahukumiwe yeye kama yeye na sio mwingine
Ameanza na kurudisha Diplomasia ya nchi hii ambayo siku za nyuma ilikuwa imeyumba kidogo
Pili tunaona anarudisha" Sector Binafsi ambayo 80% ya watanzania wote...
Kingine ameanza kupandisha madaraja wafanyakazi ambao walikaaa zaidi ya miaka 6 pasi na kupandishwa madaraja
Poa ameanza kulipa wazabuni na makandarasi malimbikizo ya muda mrefu
Yako mambo mengi ikiwamo kurudisha mifumo ianze kufanya kazi ndani ya serikali na taasisi zake..
Hoja yangu ya msingi tumpe Ushirikiano Mh Rais Samia Suluhu Hassan kama Kiongozi wetu pasi na mashaka ili kwa nafsi yake aweze kutimiza maono yake katika kipindi hichi ambacho anahudumu
Alex fredrick
Mh Samia amepokea kijiti baada ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Magufuli kilichotea tarehe 17 March mwaka huu
Toka Mh Rais Samia Suluhu amepokea kijiti tunaona kwa nafasi yake kama Rais wa awamu ya sita anakuja kutibu majeraha ya serikali zote ambazo zimetangulia...
Kila Rais ambaye amepita kwa nafsi yake alikuwa na mifumo yake pamoja na taratibu zake
Kwahiyo Mh Rais Samia Suluhu Hassan nae anakuja na mifumo yake na taratibu zake ili mwisho wa siku aje ahukumiwe yeye kama yeye na sio mwingine
Ameanza na kurudisha Diplomasia ya nchi hii ambayo siku za nyuma ilikuwa imeyumba kidogo
Pili tunaona anarudisha" Sector Binafsi ambayo 80% ya watanzania wote...
Kingine ameanza kupandisha madaraja wafanyakazi ambao walikaaa zaidi ya miaka 6 pasi na kupandishwa madaraja
Poa ameanza kulipa wazabuni na makandarasi malimbikizo ya muda mrefu
Yako mambo mengi ikiwamo kurudisha mifumo ianze kufanya kazi ndani ya serikali na taasisi zake..
Hoja yangu ya msingi tumpe Ushirikiano Mh Rais Samia Suluhu Hassan kama Kiongozi wetu pasi na mashaka ili kwa nafsi yake aweze kutimiza maono yake katika kipindi hichi ambacho anahudumu
Alex fredrick