Wee ndo unauajua hayo na vizuri utuwekee na ushahidi hapa ili tuhoji kama tunavyohoji makamba kusaini hiyo software kwa mbwembe kule kwa usd 30Wale walioingia mikataba tpa kutengeneza software na wakalipwa na hawakufanya kazi kipindi cha Awamu ya 5 Mbona hujaliongelea?