Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,500
Ama huko ni kuzuri. Itabidi nikutafute kwa muda wangu ukanioneshe hilo chimbo jipya la mjini!Hahah huko ni kimya kimya shosti,hata ukikutana na mtu unayemfahamu mnapishana kama hamjuani.ni kama ule msemo wa what happens in vegas stays in vegas
Alafu ndo tuseme ile ndoano yangu hujaiona ama ndo unadankidanki tu.
Ndoano yako imemezwa na chambo chake!