Tuache masikhara kwenye jukwaa hili la love connect

fact only bro me nishawasom wanaotoa post wengi huwa wanaanzisha mijadara kwa kiki ila hawapo serious wana joke,nawapa
 
Yaani we acha tu, sitaki kwakweli, nusura nisalimiane na ziraili.
Huyo atakuwa alitokea Tarime ndanindani kwenye mfumo dume g
Haswaa...ila Wakurya waliojichanganya mijini hawana ujinga huo.
 
Huyo atakuwa alitokea Tarime ndanindani kwenye mfumo dume g
Haswaa...ila Wakurya waliojichanganya mijini hawana ujinga huo.
Ndivyo wanavyosemaga hivyo hivyo, na kazaliwa na kukulia mjini. kwakweli nilishaweka fullstop, sitaki hata kusikia.
 
Nanyie mkome kupenda kuseleleka.we. ushindwe kupata mtu wa kukufaa huko kwenye mtaani maisha halisi utegemee kuja kumpatia humu?
 
Wanaofanya hivyo waache jamani! Wanaaharibia wenzao nafasi ya kutafuta love
 
Hapana mkuu yaani kuna ile unachat na mtu mpaka unajiuliza nilimtafuta wa nn kuna baadhi wanachat dry sana na mm ndo tunashindwana hapo mtu anakuuliza maswali kama boss anakufanyia interview
hahaha
njoo PM bas unipe mifano vizuri.

ile inakuwa intro, mtu ana taka kukufaham tu
 
Kuwa romantic sio lazima kumuita mtu mpenzi, angalau mtu atumie maneno malaini laini sio unakuwa mgumu kama unachat na dume mwenzio doooh!!
hahahahaa
wengine ujue asili zetu ni kama tuko hivo, sema mi naona si vema ku give up mapema before hamja meet ukute ni mgum kwenye msg ila mlain kimatendo, give us a chance jaman
 
Nanyie mkome kupenda kuseleleka.we. ushindwe kupata mtu wa kukufaa huko kwenye mtaani maisha halisi utegemee kuja kumpatia humu?
mkuu dunia mpya ndio iko hivo
kutafuta mke kunakuja kwa aina mpya, sema baadaye tutazoea tu naona watu wengi now mnaonaga ni shda ila actually its good kabsa, ku date online its ok
 
mkuu dunia mpya ndio iko hivo
kutafuta mke kunakuja kwa aina mpya, sema baadaye tutazoea tu naona watu wengi now mnaonaga ni shda ila actually its good kabsa, ku date online its ok
Nakupata mkuu wala sijasema ni jambo baya,mie mwenyewe nmetega nyavu zangu maeneo kadhaa(sio jf).tatizo hawa wanaodandia alafu wanashindwa kukabiliana na changamoto wanakuja kulialia
 
Nakupata mkuu wala sijasema ni jambo baya,mie mwenyewe nmetega nyavu zangu maeneo kadhaa(sio jf).tatizo hawa wanaodandia alafu wanashindwa kukabiliana na changamoto wanakuja kulialia

kama site mpya nistue mkuu, tupate adventure wote huko.

aah ni kwamba watu hawajui, datimg online inakuwaga na fkaws sku zote, kwa sababu ni our characters na siyo siye halisi tunao wasiliana pale, ni kweli mapovu yanakuwa mengi
ila naamini baadaye watu watazoea tu
 

kama site mpya nistue mkuu, tupate adventure wote huko.

aah ni kwamba watu hawajui, datimg online inakuwaga na fkaws sku zote, kwa sababu ni our characters na siyo siye halisi tunao wasiliana pale, ni kweli mapovu yanakuwa mengi
ila naamini baadaye watu watazoea tu
Umejaribu tinder mkuu.iko vizuri.hawa wageni wacha walie na kusaga meno,watajifunza kwa ekspirience
 
Back
Top Bottom