Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,070
- 136,481
Najua mazoea yana tabu.
Lakini baadhi ya tabu kuzipitia ni jambo la muhimu sana.
Mimi ningependa tuache kumuita huyu Samia yale majina yenye heshima heshima.
Tuache kumuita ‘mama’. Kila mtu humu ana mama yake.
Suala la kumuita yeye ‘mama’ tumwachiem Abduli na ndugu zake.
Huyo si mama yetu. Angekuwa mama yetu asingeleta wadunguaji wake kuua watoto na watu wengine wasio na hatia yoyote ile.
Pia, mimi nimeacha kumuita ‘Rais’.
Simuiti hivyo kwa sababu kakosa sifa ya kuitwa hivyo.
Kwa hiyo kuanzia sasa mimi nitakuwa namuita kwa jina lake.
Jina lake ni Samia au ukipenda, Samuya.
Ungana nami katika hii jitihada ya makusudi.
Lakini baadhi ya tabu kuzipitia ni jambo la muhimu sana.
Mimi ningependa tuache kumuita huyu Samia yale majina yenye heshima heshima.
Tuache kumuita ‘mama’. Kila mtu humu ana mama yake.
Suala la kumuita yeye ‘mama’ tumwachiem Abduli na ndugu zake.
Huyo si mama yetu. Angekuwa mama yetu asingeleta wadunguaji wake kuua watoto na watu wengine wasio na hatia yoyote ile.
Pia, mimi nimeacha kumuita ‘Rais’.
Simuiti hivyo kwa sababu kakosa sifa ya kuitwa hivyo.
Kwa hiyo kuanzia sasa mimi nitakuwa namuita kwa jina lake.
Jina lake ni Samia au ukipenda, Samuya.
Ungana nami katika hii jitihada ya makusudi.