Guru Dev
JF-Expert Member
- Jun 25, 2025
- 489
- 673
KWamba uwekwe kwenye jungu la minofu😀😀
Mimi mkitaka tuelewane wanipe ubunge na mimi
Mimi mkitaka tuelewane wanipe ubunge na mimi
Atakuwaje rais nchimbi bila uchaguzi..? unaota ndoto au umetamani kuchinja kuku..Yani siku ile Nchimbi atakuwa rais kwa muda kabla hatujamuondoa nitachinja kuku banda zima.
Mkuu sasa hivi chama chako Ccm hutaki tena kukisikia? Watoto wa Arusha wanasema umechafukwa na rohoMimi huwa namuita Mzanzibar ili kumbagua kabisa kuwa huyu si mtanganyika mwenzetu,
Na ndo maana katuletea wauaji ili watuue watanganyika
TuoambaneMkuu sasa hivi chama chako Ccm hutaki tena kukisikia? Watoto wa Arusha wanasema umechafukwa na roho
Mkuu nitaongezeamo kambuzi tufanye sherehe.Yani siku ile Nchimbi atakuwa rais kwa muda kabla hatujamuondoa nitachinja kuku banda zima.
Mimi sitaki hata kumuita Samia, kwa sababu kuna Samia wenye roho nzuri sana ninaowafahamu.Najua mazoea yana tabu.
Lakini baadhi ya tabu kuzipitia ni jambo la muhimu sana.
Mimi ningependa tuache kumuita huyu Samia yale majina yenye heshima heshima.
Tuache kumuita ‘mama’. Kila mtu humu ana mama yake.
Suala la kumuita yeye ‘mama’ tumwachiem Abduli na ndugu zake.
Huyo si mama yetu. Angekuwa mama yetu asingeleta wadunguaji wake kuua watoto na watu wengine wasio na hatia yoyote ile.
Pia, mimi nimeacha kumuita ‘Rais’.
Simuiti hivyo kwa sababu kakosa sifa ya kuitwa hivyo.
Kwa hiyo kuanzia sasa mimi nitakuwa namuita kwa jina lake.
Jina lake ni Samia au ukipenda, Samuya.
Ungana nami katika hii jitihada ya makusudi.