Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Kama waliamini kuwa mkulima anastahili $20M, je walirudi mahakamani au walikubaliana na huyo mkulima kwa kiwango hicho? Vinginevyo basi nchi yangu pendwa bado itakuwa inadaiwa $16M + accrued interest. Na takuwa na haki kutumia mbinu zozote (za kisheria) kupata haki yake.Akafungua kesi mahakamani hapahapa nchini akidai fidia ya $36M. Mahakama kuu ya Tanzania ikampa ushindi na kumgrant "tuzo" hiyo ya $36M. Serikali ikasema haiwezi kumlipa pesa zote hizo. Ikaunda kamati maalumu ya kufanya tathmini ya mali zilizotaifishwa. Kamati hiyo iliongozwa na Mzee Chenge na Mkulo, ikapendekeza alipwe $20M kinyume na "tuzo" aliyopewa na mahakama ya $36M.