Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Yogesh Manek Ni Noma
Mac Group of Company
Exim Bank
Aliance Insurance
Heritage Insurance More than 55%share
Strategy Medical Insurance
Uvinza Chumvi
Tank
Whitedent
Pipi na Chocolate aina Nyingi
ana Biashara Nyingi Sana na Viwanda, Pia anaendelea Kuongeza Viwanda Huyu ni noma
Bakhresa kwake ni kama Kichekesho tu akilinganishwa nae nakumbuka mwaka 2008 aliacha kutumia Landcruiser kama hizi wanazozing'ang'ania Serikali sasa hivi zilipotoka akaulizwa Why! akasema Siwezi tumia Gari ambalo hata Muuza Kanga anatumia wakamuuliza nani huyo muuza Kanga akasema ni Huyo Masikini mwenye kiwanda cha kanga KTM Wa Mbagala Zakheem
Tatizo la Umaskini kwake ni Ana Watoto wa KIke pekee 2
Mkuu umeoa? Umebahatika kupata watoto wa kike na kiume? Kama unao wa kiume pia angalia usije ukapata laana Mungu akaamua kuwafanya vimeo na hao wa kike wakaongoza!!! Kuna familia nyingi zina watoto wa kiume zaidi ya 5 na kike mmoja tu akaikomboa familia!!! A true story, kuna ndugu yangu mmoja alikuwa anadharau sana mtu akizaa mtoto wa kike hasa wa kwanza!! Ukizaa mtoto wa kiume anasema ni sawa na kuzaa 2 wa kike. You know what!!! Alioa, na alijaliwa watoto wa kike tu, alizaa number 1 kike, 2 kike, 3 kike, 4 kike hadi akaendela wa 6 na nje pia kazaa but kwa maneno yale alijilaani!!! Angalie usijilaani au kuwalaani wanao wa kiume it at all you have one!!