Elimu,nishidanishidavtupua jadili jadiliiutajirioamtu bbilayavigezo mmuhimu
Mbona simuoni chibu dangote ,bin laden,simbaWale wazungu wasitupangie nani tajiri namba moja nchini kwetu. Hebu wenyewe tujadili kati ya hawa nani namba moja?
1. Yogesh Manek
2. Mustapha Sabodo
3. Reginald Mengi
4. Salim Bakhressa
5. Mohammed Dewiji
6. Yusuph Manji
7. Ali Mafuruki
8. Rostam Aziz
9. Jeetu Patel
10. Fidal Hussen
11. Davies Mosha
12. Oilcom
Nimejibu kulingana na uelewe halafu sio kazi yangu kujua nani tajiri na nani ni masikini nyie vijana msio na kazi ndio mnakaa vijiweni kuwajadili hao watu.
Umeelewa maada lakini??
BILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..Kama utajiri unapimwa kwa kuwa Philantropists, then Tajiri No. 1 ni Mhindi mwingine kwa jina la Mustapha Sabodo akifuatiwa na Mzee wetu Reginald Mengi.
Nashauri tuanzishe kiji forbes magazine chetu.
Pasco.
Kama unataka kuzikwa wewe yamejaaMakaburi ya "Bibi Titi" hayaja jaa mpaka leo?
RIPBILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..
Bilionea na Mchumi maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam.
"Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi yaliyoko mtaa wa Bibi Titi Mohamedi karibu na CBE," amesema Danstan.
Marehemu Sabado alizaliwa mkoani Lindi na alikuwa akifanya biashara katika nchi za Ufaransa, India, Kenya, Sudan, Nigeria, Zimbabwe na Tanzania.
Atakumbukwa kwa mchango wake ulioanzisha Mwalimu Nyerere Foundation National Lottery alipotoa msaada wa Sh milioni 800. Alihusika katika utoaji wa misaada kadhaa iliyohusisha kilimo, ujenzi wa visima na kusaidia wenye uhitaji.
Sabodo atazikwa leo saa 4:30 usiku.
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un.
“We surely belong to Allah and to Him we shall return”
"Sisi sote ni wa Mola, na kwake tutarejea".
Paskali pia anakuaga!.
RIP Jaffar Sabodo.
P
lake oil hujamuweka GSMHebu wakuu niambieni nani ndo bilionea (mtu binafsi ama taasisi binafsi) wetu number one Tanzania?
Wale wazungu wasitupangie nani tajiri namba moja nchini kwetu.
Hebu wenyewe tujadili kati ya hawa nani namba moja?
1. Yogesh Manek
2. Mustapha Sabodo
3. Reginald Mengi
4. Salim Bakhressa
5. Mohammed Dewiji
6. Yusuph Manji
7. Ali Mafuruki
8. Rostam Aziz
9. Jeetu Patel
10. Fidal Hussen
11. Davies Mosha
12. Oilcom
Inna lillahiBILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..
Bilionea na Mchumi maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam.
"Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi yaliyoko mtaa wa Bibi Titi Mohamedi karibu na CBE," amesema Danstan.
Marehemu Sabado alizaliwa mkoani Lindi na alikuwa akifanya biashara katika nchi za Ufaransa, India, Kenya, Sudan, Nigeria, Zimbabwe na Tanzania.
Atakumbukwa kwa mchango wake ulioanzisha Mwalimu Nyerere Foundation National Lottery alipotoa msaada wa Sh milioni 800. Alihusika katika utoaji wa misaada kadhaa iliyohusisha kilimo, ujenzi wa visima na kusaidia wenye uhitaji.
Sabodo atazikwa leo saa 4:30 usiku.
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un.
“We surely belong to Allah and to Him we shall return”
"Sisi sote ni wa Mola, na kwake tutarejea".
Paskali pia anakuaga!.
RIP Jaffar Sabodo.
P
Makaburi ya kiuslam hayajai mkuuMakaburi ya "Bibi Titi" hayaja jaa mpaka leo?
Samahani mkuu alikua amebase kwenye biashara gani mkuuBILIONEA SABODO AFARIKI DUNIA..
Bilionea na Mchumi maarufu nchini, Mustafa Jaffer Sabodo amefariki Dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwakwe, Masaki jijini Dar es Salaam.
"Mzee amefariki leo alfajiri akiwa nyumbani. Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa katika makaburi yaliyoko mtaa wa Bibi Titi Mohamedi karibu na CBE," amesema Danstan.
Marehemu Sabado alizaliwa mkoani Lindi na alikuwa akifanya biashara katika nchi za Ufaransa, India, Kenya, Sudan, Nigeria, Zimbabwe na Tanzania.
Atakumbukwa kwa mchango wake ulioanzisha Mwalimu Nyerere Foundation National Lottery alipotoa msaada wa Sh milioni 800. Alihusika katika utoaji wa misaada kadhaa iliyohusisha kilimo, ujenzi wa visima na kusaidia wenye uhitaji.
Sabodo atazikwa leo saa 4:30 usiku.
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un.
“We surely belong to Allah and to Him we shall return”
"Sisi sote ni wa Mola, na kwake tutarejea".
Paskali pia anakuaga!.
RIP Jaffar Sabodo.
P