Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 882
- 1,029
Naiona nchi yangu Tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya TTCL kuja na huduma ya kifedha
Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano
Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza
[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#
Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano
Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza
[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#