TTCL waja na toboa bando

TTCL waja na toboa bando

Muda si kikwazo na bei yao ni nzuri tu mana 4G ya Ttcl ni tamu haswa kulinganisha na Airtel japo siku 3 ila nawaama Airtel konokono speed siitaki tena, napanga torrent kisha asubuhi wakuta vitu vimejipa
torrent ngani ni nzuri kwa movie?
 
Watu wakudownload utatujua tuu... muda huo nikipanga torrents zangu kama kumi ivi afu mwenyewe nalala nikiamka nakutana na seedlings tu
 
Line zapo zipo poa na mnala unasoma H+ popote pale ulipo,
Shida ni kwamba kwenye simu za smart phone mpaka uweke 3G ndio inasoma kinyume na hapo haikubali
Kweli.laini yao nimeweka kwenye simu yangu ya tochi imekataa kusoma
 
kwa speed yao ya 4G nkiunga hiki kifurushi mpaka inafika saa nane huwa kinakua kimeisha
 
vipi maeneo ya moshi au arusha wanapatkana?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom