Ukienda offisi yoyote ya mauzo ya ttcl utapata line tena fasta kwa shilingi 2000/=, tena hata ukitaka special namba inayoendana na line yako ya mtandao mwingine uliyonayo hapo hapo.ttcl na watumiaji wake akili za kizee wote
watumiaji humu wanaulizwa line zinapatikana wapi na bei gani wako kimya.
je ni maeneo yote ama dar tu wako kimya
wenye mtandao nao hawana matangazo wala vipeperushi ...yaani bado wanaishi ki analog tu
Line ya chuo inapatikanaje?Bei ni hiyo hiyo 2,000/= hata kwa special number
mkuu ninaishi mitaa ya chamazi dovya.....huku nimejaribu mitandao yote kuanzia tigo,airtel,vodacom bila mafanikio hadi pale nilipoanza kutumia halotel ndipo matatizo yalikwisha ndio maana nina mashaka na ttcl je nitaitapa 4G??Pembezoni wapi maana jamaa wamefunga 4g hadi kibaha
Hapo mkuu ni kununua tu lain na kujionea mwenyew...huwez jua mana jamaa covarage yao wnaongeza kila sikumkuu ninaishi mitaa ya chamazi dovya.....huku nimejaribu mitandao yote kuanzia tigo,airtel,vodacom bila mafanikio hadi pale nilipoanza kutumia halotel ndipo matatizo yalikwisha ndio maana nina mashaka na ttcl je nitaitapa 4G??
asante mkuu
Wanawaza kustaafu pesheni itakuwa Tshs ngapi?ttcl na watumiaji wake akili za kizee wote
watumiaji humu wanaulizwa line zinapatikana wapi na bei gani wako kimya.
je ni maeneo yote ama dar tu wako kimya
wenye mtandao nao hawana matangazo wala vipeperushi ...yaani bado wanaishi ki analog tu
tafadhali unajiungaje please
Hakuna mashart yoyote. Mm nmenunua nimeweka kwenye boom J8 inapiga mzigo kama kawaidaTatizo line zao zina mashart sana ukiweka kwenye hizi smart hazifanyi Kazi hadi sijui ufanyeje
Hiki kifurushi ni cha siku ngap mkuu?Iko njema tu ndo tunaenda nayo sawa tangu juzi