Ttcl modem

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,451
6,325
wakuu niko mbeya, nimekuja na modem yangu ya ttcl, sasa tatizo ni kwamba kila nikitaka kuweka vochar inashindwa kuconnect, nikipiga number 100 ili niweze kuweka voucher inakataa... Au mbeya hakuna huduma ya ttcl
 
wakuu niko mbeya, nimekuja na modem yangu ya ttcl, sasa tatizo ni kwamba kila nikitaka kuweka vochar inashindwa kuconnect, nikipiga number 100 ili niweze kuweka voucher inakataa... Au mbeya hakuna huduma ya ttcl
Ukiichomeka modem kwenye pc, signal zipo au la! Kama signal zipo piga 104.
 
Jaribu ku-top up kupitia computer ya mtu mwingine ili ubaini iwapo tatizo ni TTCL au ni system yako.
 
nimejaribu but inafanya the same thing. Nimepiga number 104 ina call then in a second in close
 
da cjui hata shida ni kitu gani, niko mbeya mjini nimejaribu laptop kama tatu shida ni hyohyo. Nashindwa kuweka vocha kabisa
 
tatufa mtu mwenye ttcl mpe namba yako ya vocha halafu akurushie. it should work.
 
Back
Top Bottom