Ukiichomeka modem kwenye pc, signal zipo au la! Kama signal zipo piga 104.wakuu niko mbeya, nimekuja na modem yangu ya ttcl, sasa tatizo ni kwamba kila nikitaka kuweka vochar inashindwa kuconnect, nikipiga number 100 ili niweze kuweka voucher inakataa... Au mbeya hakuna huduma ya ttcl