knows
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,403
- 2,006
Habar wakuu
Natumaini nyote wazima
Wakuu naombeni msaa kwa wataalamu na ujuzi wa computer jana nimetoka kununua modem mpya kabsa lakin nilivofika home niichomeke kwa computer yangu haisomi kwenye my computer kule ndani ili niweze kuiinstall nitumie kwa internet lakin ukiichomeka kwenye port pale unaiskia sound ya kusoma kama vile unavoingiza frash lakin ukija kusubilia haisomi .
Naombe msaada wenu wakuu
Mungu awabariki
Natumaini nyote wazima
Wakuu naombeni msaa kwa wataalamu na ujuzi wa computer jana nimetoka kununua modem mpya kabsa lakin nilivofika home niichomeke kwa computer yangu haisomi kwenye my computer kule ndani ili niweze kuiinstall nitumie kwa internet lakin ukiichomeka kwenye port pale unaiskia sound ya kusoma kama vile unavoingiza frash lakin ukija kusubilia haisomi .
Naombe msaada wenu wakuu
Mungu awabariki