80,000/- pamoja na king'amuzi chao na channel nyingi tu=installation+devices free of chargeFunga zuku,kwa mwezi 70,000 uone balaaa lake
Unlimited ni nzuri mkuu, hayo ya luku unaweza ukalia, mimi mwezi wa pili sasa natembea na TTCL ya 25,000 ukipanga GB zako kadhaa asubuhi zimeisha. Maisha yanaenda.Nafikiri ifike muda hii huduma ya internet majumbani na maofisini iwe kama luku.
Hii smile nitaweza kutumia hata huku Mkata mashambani napokaa?!Kwa Mimi nakupa ushauli tafuta modern au router za Smile.maana mm natumia smile mwaka wa 6 now.najiunga kifurushi cha 185,000 kwa mwezi ambacho ni unlimited maana nafikishaga Hadi 1Tb Kwa mwezi.na internet ipo fasta sana. Natumia Smart tv na ps5 console sijawai kuzima Internet. Mda mwengine unafika Hadi 21Mbps.
Kubadili line shngp?Kwa anaye hitaji VODA SUPA KASI.. Also kwenye hii karne ya sasa Internet is basic needs achanene na vifurishi vya buku buku vya kuchovya vitawafirisi.
Copper mkuu, Soon Nitatest na Fiber yao.Copper fiber?
Tatizo la TTCL hawako reliable na wana customer care mbovuZuku wakijisogeza mitaa yetu watapiga sana hela kabla TTCL hawajaamka wakianza implement FTTH (Fiber To The Home) watakayoshirikiana na Huawei
Smile hawapo kila sehemuKwa Mimi nakupa ushauli tafuta modern au router za Smile.maana mm natumia smile mwaka wa 6 now.najiunga kifurushi cha 185,000 kwa mwezi ambacho ni unlimited maana nafikishaga Hadi 1Tb Kwa mwezi.na internet ipo fasta sana. Natumia Smart tv na ps5 console sijawai kuzima Internet. Mda mwengine unafika Hadi 21Mbps.
Ccm watasema ni anasa izoo.Nafikiri ifike muda hii huduma ya internet majumbani na maofisini iwe kama luku.
Sidhani kama kuna taasisi ya serikali ina sifa hizoTatizo la TTCL hawako reliable na wana customer care mbovu
Sijawahi kuona ikikata kata uptime ni almost 99% issue inadrop speed mara kwa mara inabidi u restart router.Copper unaielezaje?
Reliability?
Usage speed (Realistic)?
Installation (what needed)?
Kama graphics Designer natumia Hp Probook na simu tu, je unarecommend hii?Sijawahi kuona ikikata kata uptime ni almost 99% issue inadrop speed mara kwa mara inabidi u restart router.
Speed realistic ni around 50 to 75% muda mwingi inakaa 2 to 3mbps kwenye kifurushi cha 4mbps.
Installation ni 55k kila kitu TTCL wanakupa, ila kama kuna uhaba unanunua mwenyewe vifaa, router, converter na cable ya kutoka converter kwenda kwenye router.