TTCL fanyeni hivi Mtengeneze fedha, alaa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Kampuni ya Umma TTCL ni kwa nini mnakuwa masikini klk makampuni yasiyo ya Umma wakati ninyi ndiyo wenye nchi?
Msilale bhana sasa nawapeni ujanja fanyeni hivi ongeeni na Serikali ipige marufuku Makampuni yote ya simu kujijengea mikonga/minara yao badala yake ninyi mjenge minara ili kila Kampuni ya itumie minara yenu na kuwalipa, kwa kifupi muwe na monopoly hapa kwenye hili eneo na kamwe isiruhusiwe sijui Tigo au Voda kuwa na minara yao wenyewe hili linawezekana kabisa kama hamna fedha kopeni kufanikisha hili na hili litawanyanua!

Kwa kifupi ninachotaka kusema ni kwamba makampuni yote binafsi yalazimishwe kutumia miundombinu yenu na kuwalipa!
 
its too late Barbarosa just imagine airtel pekee wanatower more than 1389 Tanzania uje kwa Vodacom more than 1250 na tiGO hujawagusa wakujikongoja Zantel na hapo kuna baadhi ya Tower wameng'oa na hawa wapya Halotel. Pia ujue kuna Helios Tower hawa ndio wamekamata Towers zote za tiGO na Vodacom Tanzania.
Hii kitu ilitakiwa kuwa introduced mapema kama vile alipoingia celtel kupitia kwa hawa Ttcl mwanzoni lakini napo hali ikabadilika celtel ikajitenga kivyake, ki ukweli taasisi nyingi za serikali haswa mawasiliano na technology zipo dormant sana sababu kuu ni kama hakuna malengo stahiki, ufujaji na urasimu uliopitiliza na wengi wa stuffs wapo ki maslahi zaidi ukiacha wizi na uharibifu wa mali za mashirika.
Kwa hilo wazo kama lingefanyiwa kazi miaka ile angalau 2005 mpk sasa TTCL ingekuwa imesimama na kupendeza haswa.
 
Last edited by a moderator:
its too late Barbarosa just imagine airtel pekee wanatower more than 1389 Tanzania uje kwa Vodacom more than 1250 na tiGO hujawagusa wakujikongoja Zantel na hapo kuna baadhi ya Tower wameng'oa na hawa wapya Halotel. Pia ujue kuna Helios Tower hawa ndio wamekamata Towers zote za tiGO na Vodacom Tanzania.
Hii kitu ilitakiwa kuwa introduced mapema kama vile alipoingia celtel kupitia kwa hawa Ttcl mwanzoni lakini napo hali ikabadilika celtel ikajitenga kivyake, ki ukweli taasisi nyingi za serikali haswa mawasiliano na technology zipo dormant sana sababu kuu ni kama hakuna malengo stahiki, ufujaji na urasimu uliopitiliza na wengi wa stuffs wapo ki maslahi zaidi ukiacha wizi na uharibifu wa mali za mashirika.
Kwa hilo wazo kama lingefanyiwa kazi miaka ile angalau 2005 mpk sasa TTCL ingekuwa imesimama na kupendeza haswa.

Air tel wao si walichua hizo hizo za TTCL
 
Last edited by a moderator:
Kuanzia mwaka 2005 si tulikuwa tunatamba na sera ya ubinafisishaji na serikali kukusanya kodi tu wakabinafsisha mashirika eti yanajiendesha kwa hasara
 
Eti serikali haikulenga kufanya biashara ila kujenga mazingira mazuri ya wawekezaji wamewekeza tunaanza kuwalaum
 
Unashauri au unaagiza? au Ndio Udikteta ushaanza tuelezeni tufahamu kabisa
 
Back
Top Bottom