TTCL 4G: SPIDI HII NI KWANGU TU AU.

TTCL 4G: SPIDI HII NI KWANGU TU AU.

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,377
Sijajua kama ni kwangu tu au ni vp, Nimezoea spidi ya 1MB kwa sekunde ila hapa kwa sasa jana na leo spidi ya kudownload imeshuka kwenda 60KB kwa sekunde, Nimezima updates.

Bando linalotumika ni lile la buku unapewa MB 500 mchana na kuanzia saa 2 usiku GB 3.5 hadi kukuche

Kwenu hali ipoje.

dkdk.jpg
 
Sijajua kama ni kwangu tu au ni vp, Nimezoea spidi ya 1MB kwa sekunde ila hapa kwa sasa jana na leo spidi ya kudownload imeshuka kwenda 60KB kwa sekunde, Nimezima updates.

Bando linalotumika ni lile la buku unapewa MB 500 mchana na kuanzia saa 2 usiku GB 3.5 hadi kukuche

Kwenu hali ipoje.

dkdk.jpg
me kwangu fresh tu 4g na nimeconnect kwenye pc. inakimbiza bila shida.

umejaribu kurestart modem?
 
Sijajua kama ni kwangu tu au ni vp, Nimezoea spidi ya 1MB kwa sekunde ila hapa kwa sasa jana na leo spidi ya kudownload imeshuka kwenda 60KB kwa sekunde, Nimezima updates.

Bando linalotumika ni lile la buku unapewa MB 500 mchana na kuanzia saa 2 usiku GB 3.5 hadi kukuche

Kwenu hali ipoje.

dkdk.jpg
inawezekana umekaa sehemu mbaya
 
Sijajua kama ni kwangu tu au ni vp, Nimezoea spidi ya 1MB kwa sekunde ila hapa kwa sasa jana na leo spidi ya kudownload imeshuka kwenda 60KB kwa sekunde, Nimezima updates.

Bando linalotumika ni lile la buku unapewa MB 500 mchana na kuanzia saa 2 usiku GB 3.5 hadi kukuche

Kwenu hali ipoje.

dkdk.jpg
Hilo tatizo sio kwako pekee mimi leo siku ya nne hali sio kabisa mpaka facebook nafungua kwa shida kitu ambacho sio kawaida kipindi.cha nyuma
 
Nafikiri wana shida upande wa 4g jaribu kuswitch 3g mtandao upo vizuri mimi natumia hiyo tangu jana
 
TTCL sasa hivi kuna shida kubwa sana ya mtandao
 
Wakati mwingine, downloads zinaenda polepole kwa sababu ya server yenyewe na sio ISP yako. Kwa hiyo download yako, server inayotumika ni hetzner.de

Ili kuhakikisha kwamba unapata speeds unazolipia, fanya test hapa: http://speedtest.net
 
Back
Top Bottom