TTB na TU kwa Ujumla tuache Upuuzi Madini,Gesi,Visiwa vinaibiwa na siyo Olduvai Gorge!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Hii ishu imekuwa kubwa mpaka taasisi ya Serikali inatoa tamko ni udhaifu mkubwa sana kwa upande wetu kama nchi kisa Mwanamke mmoja hata asiyekuwa na jina kasema kwamba Olduvai Gorge iko Kenya, tumewekeza siku ya tatu leo tunalia kila mahali kulalamika kana kwamba akirudisha kauli yake huyo mdada kuna chochote kitakachobadilika!

Hivi tunvyoongea Kisiwa chetu kimeuzwa kinyume na sheria zetu za nchi na Maliasili kwa Mzungu wa AK na kufika huko unahitaji Milioni 20/ siku na ni wazi hakuna Mtz atakayekwenda huko, Madini yetu kama Dhahabu, Shaba, Makaa ya Mawe yanaibiwa kila siku na Wazungu na Wachina yenye dhamani ya mabilioni ya shilingi ambayo yangeweza kutumika kutupunguzia ukali ya Maisha kwa kiasi kikubwa sana, Mwarabu wa Uarabuni kakabidhiwa ardhi kubwa sana inajulikana kama Loliondo na ukifika huko simu yako inakwambia kwamba karibu UAE, ukienda Serengeti kuna Uwanja wa ndege umejengwa na Wazungu Kinyume na sheria zetu za nchi na haumsaidii Mtz wa kawaida kwa chochote hivyo laiti kama tungewekeza hata tu sehemu ya nguvu tunazowekeza kwenye kumshambulia huyu dada na nchi ya Kenya kwenye kutetea Rasilimali zetu hakika tungefika mbali!

Hivyo narudia tena tuache upuuzi Kenya siyo adui wa TZ na wala nchi ya Kenya siyo ambayo inaiibia TanZania bali wanaoiibia TZ ni Wazungu, Waarabu, Wachina na wanasiasa wetu, kuchukia Wakenya ni kuendeleza ujinga wetu kama Waafrika kwani hata Wakenya nao ni victim wa ubebari kama sisi vile vile na tunachopaswa kufanya ni kuungana kwa pmj kushirikiana kwa manufaa ya Afrika yetu na siyo kubomoana, wengine wote wanajengana Waasia, Wazungu, hata Waarabu sisi tumekazana kuchukiana!

Narudia tena TTB acheni utoto kuna mambo muhimu ya kutetea kama Kisiwa chetu kuuziwa Mzungu, Loliondo yetu kupewa Mwarabu na siyo sijui dada gani wa Kenya kasema Olduvai iko Kenya!!
 
kwa hiyo unatetea wakenya mi nilifikiri wawachukulie hatua wote wanaonufaika na visiwa vyetu, wakenya ni wezi na majambazi hata wizi wa benki ulipoanza majambazi mengi yalikuwa yakitoka kenya
 
kwa hiyo unatetea wakenya mi nilifikiri wawachukulie hatua wote wanaonufaika na visiwa vyetu, wakenya ni wezi na majambazi hata wizi wa benki ulipoanza majambazi mengi yalikuwa yakitoka kenya


Ndugu hata wewe unaendeleza chuki tu dhidi ya Waafrika wenzetu zisizokuwa na msingi wowote ule kama kweli una chuki dhidi ya watu wanaotuibia Tanzania basi Wakenya hawapo hata 10 bora, bali wanaoongoza ni Wazungu, Wahindi, Waarabu , Wachina, Wanasiasa wetu n.k niambie Mkenya kama Mkenya anaiibia nini TZ?

Najua utaniambia Tanzanite kwa taarifa yako tu Tanzanite inayouzwa Kenya inauzwa na Wahindi na sio Wakenya Waafrika, na wanaoiiba hapa Tanzania na kuipeleka Kenya ni Wahindi pia, kama ni utalii makampuni yote ya Utalii Kenya yanamilkiwa na Wazungu na Wahindi na Wakenya ni waajiriwa tu kama vile hapa TZ hivyo kama kuna wizi wowote au udanganyifu unafanywa ni hao Wahindi na Wazungu hivyo kama kweli chuki yako inasababishwa na wizi wa Rasilimali zetu basi ulipaswa uwachukie Wazungu, Waarabu, Wahindi hao ndiyo wanufaikaji wakubwa na siyo Wakenya Waafrika kwani hata wao wanaibiwa tu kama sisi!
 
Mkuu inaonyesha wewe unafuatilia mambo kwa juu juu tu. Rosemary Odinga si mwananchi wa hadhi ya chini Kenya maneno yake kuhusu Olduvai Gorge yana athari kubwa. Kama ulikuwa hujui Rosemary ni binti wa Raila Odinga. Pia Rosemary huyu anafanya kazi katika taasisi inayohusika na elimu Kenya. Pia Rosemary ni politician kama baba yake sasa wewe kusema "mwanamke asiye na jina" bila shaka ulikurupuka tu na kupost ulichopost. Kumbuka watanzania wana upendo kwa nchi yao kamwe usiwazuie kukemea ulaghali wa Kenya.

Hiyo mada yako ungeweza kuiwasilisha vema tu bila kubeza maoni ya watanzania juu ya Olduvai Gorge.

Mkuu mimi naishi karibu na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro sasa mtu akisema tuwaache wakenya waseme tu haya maeneo ni yao hakika tutakuwa hatujitambui na hatujui tunataka nini kama nchi.
 
Mkuu inaonyesha wewe unafuatilia mambo kwa juu juu tu. Rosemary Odinga si mwananchi wa hadhi ya chini Kenya maneno yake kuhusu Olduvai Gorge yana athari kubwa. Kama ulikuwa hujui Rosemary ni binti wa Raila Odinga. Pia Rosemary huyu anafanya kazi katika taasisi inayohusika na elimu Kenya. Pia Rosemary ni politician kama baba yake sasa wewe kusema "mwanamke asiye na jina" bila shaka ulikurupuka tu na kupost ulichopost. Kumbuka watanzania wana upendo kwa nchi yao kamwe usiwazuie kukemea ulaghali wa Kenya.

Hiyo mada yako ungeweza kuiwasilisha vema tu bila kubeza maoni ya watanzania juu ya Olduvai Gorge.

Mkuu mimi naishi karibu na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro sasa mtu akisema tuwaache wakenya waseme tu haya maeneo ni yao hakika tutakuwa hatujitambui na hatujui tunataka nini kama nchi.
Kwa nini wananchi tuhangaike wakati kuna watu wanalipwa mishahara kwa kazi ya kuitangaza Tanzania?
 
Hii ishu imekuwa kubwa mpaka taasisi ya Serikali inatoa tamko ni udhaifu mkubwa sana kwa upande wetu kama nchi kisa Mwanamke mmoja hata asiyekuwa na jina kasema kwamba Olduvai Gorge iko Kenya, tumewekeza siku ya tatu leo tunalia kila mahali kulalamika kana kwamba akirudisha kauli yake huyo mdada kuna chochote kitakachobadilika!

Hivi tunvyoongea Kisiwa chetu kimeuzwa kinyume na sheria zetu za nchi na Maliasili kwa Mzungu wa AK na kufika huko unahitaji Milioni 20/ siku na ni wazi hakuna Mtz atakayekwenda huko, Madini yetu kama Dhahabu, Shaba, Makaa ya Mawe yanaibiwa kila siku na Wazungu na Wachina yenye dhamani ya mabilioni ya shilingi ambayo yangeweza kutumika kutupunguzia ukali ya Maisha kwa kiasi kikubwa sana, Mwarabu wa Uarabuni kakabidhiwa ardhi kubwa sana inajulikana kama Loliondo na ukifika huko simu yako inakwambia kwamba karibu UAE, ukienda Serengeti kuna Uwanja wa ndege umejengwa na Wazungu Kinyume na sheria zetu za nchi na haumsaidii Mtz wa kawaida kwa chochote hivyo laiti kama tungewekeza hata tu sehemu ya nguvu tunazowekeza kwenye kumshambulia huyu dada na nchi ya Kenya kwenye kutetea Rasilimali zetu hakika tungefika mbali!

Hivyo narudia tena tuache upuuzi Kenya siyo adui wa TZ na wala nchi ya Kenya siyo ambayo inaiibia TanZania bali wanaoiibia TZ ni Wazungu, Waarabu, Wachina na wanasiasa wetu, kuchukia Wakenya ni kuendeleza ujinga wetu kama Waafrika kwani hata Wakenya nao ni victim wa ubebari kama sisi vile vile na tunachopaswa kufanya ni kuungana kwa pmj kushirikiana kwa manufaa ya Afrika yetu na siyo kubomoana, wengine wote wanajengana Waasia, Wazungu, hata Waarabu sisi tumekazana kuchukiana!

Narudia tena TTB acheni utoto kuna mambo muhimu ya kutetea kama Kisiwa chetu kuuziwa Mzungu, Loliondo yetu kupewa Mwarabu na siyo sijui dada gani wa Kenya kasema Olduvai iko Kenya!!
one thing I can assure you.hayo madudu unayoyaona come 2019 yatakuwa maradufu
 
Hii ishu imekuwa kubwa mpaka taasisi ya Serikali inatoa tamko ni udhaifu mkubwa sana kwa upande wetu kama nchi kisa Mwanamke mmoja hata asiyekuwa na jina kasema kwamba Olduvai Gorge iko Kenya, tumewekeza siku ya tatu leo tunalia kila mahali kulalamika kana kwamba akirudisha kauli yake huyo mdada kuna chochote kitakachobadilika!

Hivi tunvyoongea Kisiwa chetu kimeuzwa kinyume na sheria zetu za nchi na Maliasili kwa Mzungu wa AK na kufika huko unahitaji Milioni 20/ siku na ni wazi hakuna Mtz atakayekwenda huko, Madini yetu kama Dhahabu, Shaba, Makaa ya Mawe yanaibiwa kila siku na Wazungu na Wachina yenye dhamani ya mabilioni ya shilingi ambayo yangeweza kutumika kutupunguzia ukali ya Maisha kwa kiasi kikubwa sana, Mwarabu wa Uarabuni kakabidhiwa ardhi kubwa sana inajulikana kama Loliondo na ukifika huko simu yako inakwambia kwamba karibu UAE, ukienda Serengeti kuna Uwanja wa ndege umejengwa na Wazungu Kinyume na sheria zetu za nchi na haumsaidii Mtz wa kawaida kwa chochote hivyo laiti kama tungewekeza hata tu sehemu ya nguvu tunazowekeza kwenye kumshambulia huyu dada na nchi ya Kenya kwenye kutetea Rasilimali zetu hakika tungefika mbali!

Hivyo narudia tena tuache upuuzi Kenya siyo adui wa TZ na wala nchi ya Kenya siyo ambayo inaiibia TanZania bali wanaoiibia TZ ni Wazungu, Waarabu, Wachina na wanasiasa wetu, kuchukia Wakenya ni kuendeleza ujinga wetu kama Waafrika kwani hata Wakenya nao ni victim wa ubebari kama sisi vile vile na tunachopaswa kufanya ni kuungana kwa pmj kushirikiana kwa manufaa ya Afrika yetu na siyo kubomoana, wengine wote wanajengana Waasia, Wazungu, hata Waarabu sisi tumekazana kuchukiana!

Narudia tena TTB acheni utoto kuna mambo muhimu ya kutetea kama Kisiwa chetu kuuziwa Mzungu, Loliondo yetu kupewa Mwarabu na siyo sijui dada gani wa Kenya kasema Olduvai iko Kenya!!
Kumbe mkuu huwa unaakili za kiwango cha juu, sasa tatizo huwa ni nini?
Mbona ukigeukia siada uchwara unajivua hii akili na kuuvaa ujuha? Sio bure lazima utakuwa umerogwa wewe! Kaombewe.
Ni kweli kabisa tunaonyesha udhaifu mkubwa kupambana eti na mtu aliyesema yale. Jee angesema Nyerere ni mkikuyu aliyeazimishwa Tanzania kusaidia kupata uhuru sii tutaingia vitani kabisa?
 
Mkuu inaonyesha wewe unafuatilia mambo kwa juu juu tu. Rosemary Odinga si mwananchi wa hadhi ya chini Kenya maneno yake kuhusu Olduvai Gorge yana athari kubwa. Kama ulikuwa hujui Rosemary ni binti wa Raila Odinga. Pia Rosemary huyu anafanya kazi katika taasisi inayohusika na elimu Kenya. Pia Rosemary ni politician kama baba yake sasa wewe kusema "mwanamke asiye na jina" bila shaka ulikurupuka tu na kupost ulichopost. Kumbuka watanzania wana upendo kwa nchi yao kamwe usiwazuie kukemea ulaghali wa Kenya.

Hiyo mada yako ungeweza kuiwasilisha vema tu bila kubeza maoni ya watanzania juu ya Olduvai Gorge.

Mkuu mimi naishi karibu na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro sasa mtu akisema tuwaache wakenya waseme tu haya maeneo ni yao hakika tutakuwa hatujitambui na hatujui tunataka nini kama nchi.



Hoja yangu siyo nani kasema nini bali hoja yangu ni kwamba iweje tutumie nguvu zote hizi kwa sababu tu ya fulani amesema kumbukumbu za kale za Olduvai ziko Kenya, kwa nini tusitumie nguvu kama hii kuidai Loliondo yetu ambayo imemilikishwa Mwarabu na watu wetu wamehamishwa kwa nguvu leo hii hata ardhi ya malisho hawana na ukifika Ngorongoro unaambiwa karibu U.A.E? Madini yetu yanasombwa kama mchanga kila siku na Wazungu kupelekwa Ulaya kwanini tusiwekeze hizi nguvu huko?
Kisiwa chetu kauziwa Mzungu kinyume na Sheria zetu kwanini hakuna petition kupinga hilo?
Tunakwenda kuwekeza muda na mpaka taasisi ya Kiserikali inatoa tamko kwa sababu tu binadamu fulani kasema olduvai iko Kenya?

Kwani hata hiyo Olduvai ikiwa Kenya kuna madhara gani ikilinganishwa na Madini yetu? hiyo ndiyo hoja yangu haswa, yaani tunatumia nguvu nyingi sana kwenye mambo ambayo hayana umuhimu sana kwanza Olduvai yenyewe hata siyo namba moja Duniani tena kwani wataalamu tayari wanasema binadamu wa kwanza aliishi Ethiopia na wameshapata uthibistiho wa hilo lkn Dhahabu yetu hairudi, kisiwa chetu hakirudi, loliondo yetu imekwenda ndiyo ninachomaanisha!
 
Msilie sana Watanzania hatuna pesa za kutangaza urithi wetu, wakenya ndio wametuokoteza wanatutangaza sie watanzania tutaambulia tu magonjwa na makopo yanayoletwa na watalii kutupwa mbugani, kesho utasikie yule twiga Albino yupo kwao hebo
 
Back
Top Bottom