Tsvangirai akaidi mahakama Zimbabwe

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Waziri mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai, amefunga ndoa siku ya Jumamosi licha ya hukumu ya mahakama kutoa hukumu ya inayozuia ndoa hiyo kufanyika.
Siku ya Ijumaa mahakama ilifutilia mbali leseni ya ndoa ya Bwana Tsvangirai ikisema kuwa tayari anatambulika kuwa ameoa mwanamke mwingine katika sheria za kimila.
[h=1][/h]
 
Back
Top Bottom