TSMC: Hatutapokea ombi lolote kutoka Huawei kununua processor zetu kuanzia September 14, 2020

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,459
17,265
Kampuni ya kutengeneza processor za simu za kiwango cha juu ya Taiwani, Taiwanese Semiconductor Manufacturing Company au TSMC imesema haitapoea ombi lolote wa kuiuzia processor zake kampuni ya Huawei kuanzia September 14, 2020 ili kutokumbana na vikwazo vya Marekani.

Marekani imezuia kampuni yoyote Duniani inayotumia teknolojia yake kutengeneza bidhaa zozote kutokuiuzia hiyo bidhaa kampuni ya Huawei ya China bila ruhusa kutoka Washington.

TSMC ndie anaongoza kutengeneza processor za simu za makampuni makubwa kama Huawei, Apple, Samsung, One Plus na mengine. Sehemu kubwa ya processor zake hunuliwa na hayo makampuni hasa Apple na Huawei.

Marekani amedhamiria kuiondoa Huawei Sokoni.

TSMC Will Cut Off Supply to Huawei In September
 
Kampuni ya kutengeneza processor za simu za kiwango cha juu ya Taiwani, Taiwanese Semiconductor Manufacturing Company au TSMC imesema haitapoea ombi lolote wa kuiuzia processor zake kampuni ya Huawei kuanzia September 14, 2020 ili kutokumbana na vikwazo vya Marekani.

Marekani imezuia kampuni yoyote Duniani inayotumia teknolojia yake kutengeneza bidhaa zozote kutokuiuzia hiyo bidhaa kampuni ya Huawei ya China bila ruhusa kutoka Washington.

TSMC ndie anaongoza kutengeneza processor za simu za makampuni makubwa kama Huawei, Apple, Samsung, One Plus na mengine. Sehemu kubwa ya processor zake hunuliwa na hayo makampuni hasa Apple na Huawei.

Marekani amedhamiria kuiondoa Huawei Sokoni.

TSMC Will Cut Off Supply to Huawei In September

Fanya yoote lakini isitokee mtu akazuia customers wako ama suppliers wako hutaacha kuona nyota nyeusi
 
Back
Top Bottom