Flagship phones nyingi mwaka 2021 zitatumia chipset ya 3nm

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,436
17,082
Taiwanese Semiconductors Manufacturing Company au TSMC ndio kampuni maarufu inayotengeneza chipset za simu za kiwango cha juu au flagship phones kama Huawei P40 Pro, Iphone 11 Max Pro, Samsung S20 Ultra, Note 20 Ultra na kadhalika.

TSMC inasema imeanza kutengeneza chipset za 3nm zitakazoanza kutumika mwakani na kampuni za simu za viwango vya juu.

TSMC tayari inatengeneza chipset za 5nm kwa simu zitakazotoka mwaka huu labda na mwakani mwanzoni. Sehemu kubwa 5nm chipsets tayari zimenunuliwa na Apple na Huawei. Hivyo tutegemee Iphone 12 kua na speed na performance kubwa sana. Samsung wao mwaka huu simu zao zote ni 7nm ambayo nadhani Apple wataachana nayo.

Joking: wakati watu mwaka huu watatumia simu zenye chipset ya 5nm sisi wa tecno bado tuko double digit ya 15nm na flagship brand zetu za tecno canon 7 pro😂😂.

Nyongeza kwa wasiofahamu, simu ama processor ya simu inapokua na nm au nanometer chache ndio inakua bora zaidi kwa sababu inakua na kasi kubwa na nzuri. The smaller the number of nm the better. Simu yenye nm 10 ni bora kuliko yenye nm 12 au 15, yenye nm 5 ni bora kuliko yenye nm 7, nm 3 bora kuliko nm 4, 5 na kuendelea.

TSMC revealed some details of its 3nm process - Gizchina.com
 
Flagship phones ndio zipoje? Me ushanichanganya.
Flagship phones ni zile simu zinazokua na top specifications katika kampuni husika. Mfano kwenye Samsung, flagship phones ni S series na Note series. Flagship za Huawei ni P series na Mate series.
Lakini pia kuna bei fulani sikumbuki amount yake (in dollars) ambayo inabidi simu husika ifikie ili iweze kuitwa flagship.
Mfano best of all katika simu za itel bei yake haifiki hata laki 4, so itel hawana flagship phone(s)
 
Flagship phones ni zile simu zinazokua na top specifications katika kampuni husika. Mfano kwenye Samsung, flagship phones ni S series na Note series. Flagship za Huawei ni P series na Mate series.
Lakini pia kuna bei fulani sikumbuki amount yake (in dollars) ambayo inabidi simu husika ifikie ili iweze kuitwa flagship.
Mfano best of all katika simu za itel bei yake haifiki hata laki 4, so itel hawana flagship phone(s)
Umeeleza vizuri. Itel na tecno tuna flagship zetu. Kwetu simu ya laki 5 ni flagship.
 
Umeeleza vizuri. Itel na tecno tuna flagship zetu. Kwetu simu ya laki 5 ni flagship.
Hahaha sawa mkuu. Kuna mgawanyo wa makundi ya simu kutokana na bei na specifications zake.

1. High end (flagship)
2. Midrange (budget phones) na
3. Low end (entry level)

Sasa ukiongelea soko la dunia la simu itakua ngumu kuweka let's say infinix note 7 kwenye kundi moja na Samsung S20 au One plus 8.
 
Hizi makitu si ndio chuck Norris hataki bolo yeung auziwe!? Au mambo iko poa tu.
 
Flagship phones ni zile simu zinazokua na top specifications katika kampuni husika. Mfano kwenye Samsung, flagship phones ni S series na Note series. Flagship za Huawei ni P series na Mate series.
Lakini pia kuna bei fulani sikumbuki amount yake (in dollars) ambayo inabidi simu husika ifikie ili iweze kuitwa flagship.
Mfano best of all katika simu za itel bei yake haifiki hata laki 4, so itel hawana flagship phone(s)
Asante kwa ufafanuzi murua kabisa.
 
Hahaha sawa mkuu. Kuna mgawanyo wa makundi ya simu kutokana na bei na specifications zake.

1. High end (flagship)
2. Midrange (budget phones) na
3. Low end (entry level)

Sasa ukiongelea soko la dunia la simu itakua ngumu kuweka let's say infinix note 7 kwenye kundi moja na Samsung S20 au One plus 8.
simu inaweza kuwa highend na isiwe flagship, mfano xiaomi anatoa simu kama redmi k20 ama k30 pro sio flagship zake lakini zinakuwa na specs highend, na simu inaweza kuwa midrange ama low end ikawa flagship. kifupi flagship ni simu ya kampuni fulani ambayo wamejitutumua na kuweka uwezo wao wote ili kuonyesha uwezo wao wa technology ulipofikia. neno flagship limetokana na vita vya meli ambapo flagship inakuwa mbele na meli nyengine za kawaida zinafuatia nyuma.
 
simu inaweza kuwa highend na isiwe flagship, mfano xiaomi anatoa simu kama redmi k20 ama k30 pro sio flagship zake lakini zinakuwa na specs highend, na simu inaweza kuwa midrange ama low end ikawa flagship. kifupi flagship ni simu ya kampuni fulani ambayo wamejitutumua na kuweka uwezo wao wote ili kuonyesha uwezo wao wa technology ulipofikia. neno flagship limetokana na vita vya meli ambapo flagship inakuwa mbele na meli nyengine za kawaida zinafuatia nyuma.
Always nice to hear from you chief. Kwa case ya Xiaomi naona wao wameenda mbali zaidi katika classification zao sababu baada ya flagship wameweka premium flagship. So K20/Mi 9T, K20 pro/Mi 9T pro, K30, K30 pro/Poco F2 pro hizi wameziweka kwenye flagship category.

Halafu Mi Series na Mi Mix series zipo katika premium flagship.
IMG_20200715_160446.jpg
 
Sijawahi tumia flag shop phones hadi muda huu.. natumia samumsung lakini matoleo ya walala hoi kama A series etc
Flagship phones ni zile simu zinazokua na top specifications katika kampuni husika. Mfano kwenye Samsung, flagship phones ni S series na Note series. Flagship za Huawei ni P series na Mate series.
Lakini pia kuna bei fulani sikumbuki amount yake (in dollars) ambayo inabidi simu husika ifikie ili iweze kuitwa flagship.
Mfano best of all katika simu za itel bei yake haifiki hata laki 4, so itel hawana flagship phone(s)
 
Back
Top Bottom