johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,963
- 141,963
Hakika madaraka ni matamu sana.
Katika hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani Trump ameaga na kuwaahidi Wamarekani na dunia kwa ujumla kwamba atarejea kivingine soon.
Hakika Tanzania tuna utaratibu mzuri wa kuachiana madaraka kwa heshima.
Maendeleo hayana vyama!
Katika hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani Trump ameaga na kuwaahidi Wamarekani na dunia kwa ujumla kwamba atarejea kivingine soon.
Hakika Tanzania tuna utaratibu mzuri wa kuachiana madaraka kwa heshima.
Maendeleo hayana vyama!