Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amesema jaribio la uasi wa Wagner nchini Urusi limemdhoofisha Rais wa nchi hiyo Vladimir Putin
Trump ambaye kwa muda mrefu amekua akivutiwa na rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kwamba Putin amedhoofishwa kwa kiasi fulani na uasi huo uliokomeshwa na kwamba sasa ni wakati wa Marekani kujaribu kufanya makubaliano ya amani kati ya Urusi na Ukraine.
Trump ambaye kwa muda mrefu amekua akivutiwa na rais wa Urusi Vladimir Putin amesema kwamba Putin amedhoofishwa kwa kiasi fulani na uasi huo uliokomeshwa na kwamba sasa ni wakati wa Marekani kujaribu kufanya makubaliano ya amani kati ya Urusi na Ukraine.