johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
- Thread starter
- #21
Tunaye balozi huko!
Tunaye balozi huko!
Iko duniani ila haina influence yoyote iwe kiuchumi kijamii ki siasa yaani brand ya coca cola inajulikana kuliko nchi ya Tz......Imagine GDP ya USA ni $2 trillion ya Tz $52bn si nisawa sawa na uchumi wa kijiji kimoja masikini USA.Kwani Tanzania haiko duniani!
Mbwiga wewe kizungu unajua au ndio usaidiwe na Nyani Ngabu!Kubali kuambiwa wew kiazi, jiwe hana ubavu wa kuongea kwenye mikutano ya kitaifa, kizungu kinamsumbua sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzanite unaijua?!Iko duniani ila haina influence yoyote iwe kiuchumi kijamii ki siasa yaani brand ya coca cola inajulikana kuliko nchi ya Tz......Imagine GDP ya USA ni $2 trillion ya Tz $52bn si nisawa sawa na uchumi wa kijiji kimoja masikini USA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno, watapigw virungu hata mashangazi waoHivi bongo inawezekana bunge likagomea pesa na serikali ikagonea shughuri zote ili kulishinikiza bunge kupitisha mafungu ya fedha.
Tatizo nyie vilaza hamtaki kuambiwa ,vichwani ni weupe tu,..Mbwiga wewe kizungu unajua au ndio usaidiwe na Nyani Ngabu!
Si unaenda hata na mtafasiri. Kwan lazima uijue hiyo kugha au wote waliopo pale wanaijua.Huyu wa kwetu hahudhurii sababu hawezi zungumza wala kuielewa ile lugha ya malkia
Kati ya watanzania 10 - 8 hususani mkoani na ma wilayani hawajui Tz nini inakazi gani na inachibwa wapi.....sembuse nje nchiTanzanite unaijua?!
Kweli pamoja na kusoma bado wafrika tutawatukuza wazungu.Unalinganisha viongozi wa Dunia na mwenye kiti wakijiji tena wa CCM.......bado wananchi wake wanahimizwa kutumia choo na wakikishe wananawa mikono wakitoka hajani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa Marekani Donald Trump na Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May hawajahudhuria mkutano wa uchumi duniani kutokana na majukumu ya ndani ya nchi zao yanayowakabili.
Source BBC Dira ya Dunia
My take;
Nimeelewa ni kwanini Rais Magufuli amejikita nyumbani kujenga misingi ya uchumi kwanza......maana hata wakubwa huko duniani wanatulia nchini mwao
Maendeleo hayana vyama!
Swala ni kwamba hawajaenda!
Hahahaa..... Brexit kukwama watu hawasafiri!Sasa naona unalazimisha mambo,ningekuwa mm ningejifunza kwa nn hawajaenda kuliko unapo taka kulazimisha na kuonyesha kumbe ww una mawazo ya hovyo hovyo tu ya kutetea kila kitu kama MATAGA wenzako!
Shut down serikali ya USA Bunge kuinyima hela
Serikali utawezaje kusafiri?
Brexit kukwama utawezaje kusafiri?
MATAGA kwa hili umetaga
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa kabisa yote ni muhimu kwa nchi husika!Trump nchi yake bado ina mgogoro wa wafanyakazi na May yuko kwenye issue ya kupitisha mpango wa Brexit Bungeni na mwisho JPM yuko na kikao na wachimbaji wa madini.
Proverb 3:5-6
Uliiona alivyoulizwa maswali Uganda mkuu sasa akiwa na mkalomani kipindi kitakua cha dakika ngapi unafikiri? Kitakua cha masaa mawili..Si unaenda hata na mtafasiri. Kwan lazima uijue hiyo kugha au wote waliopo pale wanaijua.
Chagua kusuka au kunyoa
Kwani huko hatuna balozi?Ww bana upo mbali sana na World affairs!!
Bunge USA limeshindwa kukubaliana kupitisha bajeti ya kuendesha serikali,Bunge halijaipa hela serikali na hivyo serikali haina hela maafisa wake wengi hawajalipwa leo siku ya 32!Sasa utaondoka vipi USA na maafisa wako hawajalipwa mshahara kwa mwezi mzima?
UK ni matatizo pia ya kura ya Brexit yanamuendea vibaya sana PM May kakoswa juzi kuondolewa na Bunge madarakani na sasa anakutana na wapinzani kusawazisha uhasama huu!
Kwa hali hizi mbili hao viongozi wataendaje Davos?
Kwa nn JPM hayupo Davos wkt hali ya uchumi na kisiasa TZ ni shwari?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa Tanzania ni bora kuhudhuria kuliko kutohudhuria!..
Umeelewa maana ya Brexit na Shutdown?Swala ni kwamba hawajaenda!