Trump na Greenland yake

Trump na Greenland yake

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,315
Reaction score
7,137
Dunia inayumbishwa na mcheza mieleka,je umewahi kuangalia mieleka ile ya kina undertaker na wenzake,ile mikwara wanayopeana jukwaani hii ndio tabia na desturi aliyoirithi Trump kwa sababu yeye Trump amaewahi kuwa kwenye hiyo michezo.
Sasa mtu huyu kwa sasa ni kiongozi wa taifa moja kubwa sana ambalo ndio linaendesha dunia kwa sasa ,na kila kukicha dunia inayumbishwa na huyu mtu akilala leo akiamka kesho anakuja na jipya gumu kama mfupa .
Sasa kutokana na mataifa ya ulaya kupeleka jeshi kulinda kisiwa cha Greenland kisinyakuliwe na Bwana Trump ,yeye Trump akaona isiwe shida kuanza kupoteza risasi bure leo kaamka na vikwazo kwa nchi zote za Ulaya tena ambazo ni washirika wenzake wa NATO.
Kwenye mieleka unaweza kuona team moja ipo jukwaani wanatiana makonzi na watazamaji wanashangilia.
 
Mieleka, American football na basketball ni michezo inayopendwa zaidi USA

ukitaka kuwa fame engage humo

ukiangalia harakat za Trump u Rais aliuota toka alipokuwa kijana mdogo

alitafuta pesa
akatafuta umaarufu

hivi ndio mmesaidia kushinda

ila usisahau no msomi aliyesoma shule Bora kuanzia grade one had chuo kikui
 
Ulaya kama jike la nguruwe haiamini namna dume la nguruwe yaani Bwana Trump vile amekuwa mnyanyasaji. Hana upendo tena. Pesa za matumizi hatoi na isitoshe anawaona wakeze ni wababaishaji.
 
Tuendelee kucheka

MATAIFA YA ULAYA YAMTISHIA TRUMP KUANZISHA URAFIKI NA PUTIN BAADA YA KUWEKEWA USHURU WA 10 GREENLAND​

:3Dance:
 
Anayumbisha Dunia kwa sababu nchi yake ni imara katika nyanja zote. Trump kama trump hasingeyumbisha dunia. Nchi yake in nguvu kiasi kwamba raisi wao akisema jambo, dunia inaufyata.
 
IMG_7104.jpeg
 

MATAIFA YA NATO YAJA NA MSIMAMO MZITO KUHUSU TRUMP KUICHUKUA GREEN LAND​

baada ya ushuru wa Trump, Ujerumani waufyata mkia waondoa wanajeshi wao Greenland kuogopa hali ya uchumi kuporomoka
 
Back
Top Bottom