Trump kawa kichaa

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,724
Reaction score
14,174
Leo kaja na mpya eti Iran kakubali masharti 15 Iran wakasema huyu dunia nzima wameisha muona hayuko sawa ghafla ka tweet Iran asipofungua Hormuz tapiga power station zote na visima vya mafuta hahaha kweli huyu kisha changanyikiwa hata USA wanasema akapimwe akili zake
 
Wenye akili tushampuuza zaman huyo mzee.
 
Anajua anachokifanya Donald Trump,
Yani hakuna cha kupuuza anachosema Trump comments zake zinaathari ya moja kwa moja katia hii vita 🙏
 
Ni hatari Nchi kuwapa vizee vya above 65
 
Ni hatari kweli.Aibu kwa US.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…