Trump kasema mwezi ni mali ya Marekani 🌘
🌕🇺🇸 “THE MOON IS OURS.”

View attachment 3665827marke

Donald Trump ameshangaza dunia baada ya kushiriki post yenye ujumbe unaodai kwamba Mwezi ni wa Marekani. 😳🚀

Lakini swali kubwa ni hili: Je, nchi inaweza kweli kumiliki Mwezi? 🌕⚖️ Kwa mujibu wa sheria za kimataifa za anga, hakuna taifa linaloruhusiwa kudai Mwezi kama eneo lake la kitaifa.

Hivyo, kauli hii imeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa uchunguzi, rasilimali na nguvu za mataifa angani.

🚀🌌Je ni kweli Marekani inataka kutawala anga la baadaye, au hii ni kauli tu?

#BongoTech255 #TechNews #Future
Ila Trump!!😃😃
 
USA imegoma kura huko UN kupitisha mabadiliko ya ramani inayoonyesha Frika ni kubwa kuliko inavyoonyeshwa kwenye ramani (japo sijaelewa hasa madhara yake). Hapi hapo anatoa kauli kwamba mwezi ni mali yao?
 
🌕🇺🇸 “THE MOON IS OURS.”

View attachment 3665827marke

Donald Trump ameshangaza dunia baada ya kushiriki post yenye ujumbe unaodai kwamba Mwezi ni wa Marekani. 😳🚀

Lakini swali kubwa ni hili: Je, nchi inaweza kweli kumiliki Mwezi? 🌕⚖️ Kwa mujibu wa sheria za kimataifa za anga, hakuna taifa linaloruhusiwa kudai Mwezi kama eneo lake la kitaifa.

Hivyo, kauli hii imeibua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa uchunguzi, rasilimali na nguvu za mataifa angani.

🚀🌌Je ni kweli Marekani inataka kutawala anga la baadaye, au hii ni kauli tu?

#BongoTech255 #TechNews #Future
Huyu Mzee Trump ana matatizo ya akili ingelifaa apimwe akili zake Hospitalini.
 
Mzee kila deal kubwa anataka aruke nayo 😀 analeta ubabe mpk kwenye nonsense
 
kwa hiyo litaifa lingine likitaka kupeleka chombo chake au kwenda huko inabidi waombe au kulipia kwa U.S.A?
 
Back
Top Bottom