technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,653
- 58,533
Akiongea katika mkutano wa kampeni zake zinazoendelea nchini marekani Mgombea wa Republican bwana Donald Trump amesema ana wasiwasi na mwonekano wa mgombea mwenzake wa Urais kupitia chama cha Democratic mama Clinton kuwa anatumia madawa ya kulevya hasa kwenye debate iliyopita alionekana kama mlevi na macho ya tofauti na Siku zote.
Na kuongeza uenda atakuwa anatumia madawa ya kulevya na alitumia kabla ya debate ile ya jumapili iliyopita.
Vila vile amavishutumu vyombo vya habari kwa kumbeba na kutoripoti maovu yake anayoyafanya mpinzani wake.
Chanzo: CNN
My take: Jamaa maneno hayaishi tu kila Siku anakuja na jipya kama kawaida wacha tuone debate ya jumatano atafanya nini za ziada.
Na kuongeza uenda atakuwa anatumia madawa ya kulevya na alitumia kabla ya debate ile ya jumapili iliyopita.
Vila vile amavishutumu vyombo vya habari kwa kumbeba na kutoripoti maovu yake anayoyafanya mpinzani wake.
Chanzo: CNN
My take: Jamaa maneno hayaishi tu kila Siku anakuja na jipya kama kawaida wacha tuone debate ya jumatano atafanya nini za ziada.