Trump: Hillary Clinton anatumia madawa ya kulevya

Trump: Hillary Clinton anatumia madawa ya kulevya

Mi nafikiri Wamerikani watumie busara sana katika uchaguzi wa mwaka huu - wasipo mchagua Trump basi Amerika ijitayarishe kwa matukio ya kutisha popote Duniani yatayo sababishwa na mahamuzi hatarisi ya Hillary - sitashangaa kama term yake ya kwanza itakumbwa na WW3, Hillary ni bellicose mno labda mumewe amu-contain.
Democratic hawanaga hizo za kupiga piga kama republican
 
Akiongea katika mkutano wa kampeni zake zinazoendelea nchini marekani Mgombea wa Republican bwana Donald Trump amesema ana wasiwasi na mwonekano wa mgombea mwenzake wa Urais kupitia chama cha Democratic mama Clinton kuwa anatumia madawa ya kulevya hasa kwenye debate iliyopita alionekana kama mlevi na macho ya tofauti na Siku zote .

Na kuongeza uenda atakuwa anatumia madawa ya kulevya na alitumia kabla ya debate ile ya jumapili iliyopita

Vila vile amavishutumu vyombo vya habari kwa kumbeba na kutoripoti maovu yake anayoyafanya mpinzani wake.

Source : CNN

My take : jamaa maneno hayaishi tu kila Siku anakuja na jipya kama kawaida wacha tuone debate ya jumatano atafanya nini za ziada.
Kumbe siasa za kuchafuana tumeziiga kwa wanaoitwa mababa wa demokrasia, no wonder campaign zet zilizopita zilijaa mambo kama haya, Mara flani kajinyea Mara mwingine ana moyo bandia......nonsense
 
Hii ni mbinu inayotumika kumfanya Trump aonekane mwendawazimu ili Clinton awe Rais wa kwanza mwanamke katika taifa kubwa.
Alama za nyakati zinaonesha siku zijazo maitafa makubwa yenye nguvu viongozi wao wakuu watakuwa wanawake.
 
kwa sababu kaongea Trump watu mnaweza kutotilia maanani,ila yule mama kuna uwezekano mkubwa anavuta bangi,macho yanakuwa mazito hasa anapokuwa kwenye mdahalo.binafsi sioni tatizo kwa sababu anaonekana kuwa sawa zaidi kimdahalo
 
Yarumbeta ameiga siasa za kitanzania. Hakuna hoja ni matusi kwa kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom