Trump has gone AWOL

Trump has gone AWOL

POTUS = Trump secret service code name
Imploding ni kinyume cha exploding
Mengine atasema mwenyewe
 
Atakuwa twitter ana tweet!
Alifikiri hapo ni Trump towers ana-deal na aliowaajiri, waitresses na barmaids??.

President alifikiri hayo ni mashindano ya Miss Universe??
Au wapangaji wake??

Let it go down in HISTORY!
#black_lives_matter

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Unapoandika kwa kiingereza ndio tujue umesoma sana au? Kama lengo lako ni kufikisha ujumbe kwa watanzania je unahakika ulichoandika kimeeleweka kwa watanzania
Tatizo sio kutumia kiingereza bali aina ya kiingereza alichotumia!
Ndio tunashindwa kumuelewa lengo lake! Kiingereza gani utafikiri chapisho la tafakuri katika gazeti la ....
 
Aliyeelewa naomba msaada wa kutafsiriwa tafadhali, ingawa ada alilipa babayako
 
Japokuwa nakijua kiingereza lakini hata sijasumbuka kusoma. Mtu nna njaa halafu eti nijihangaishe kusoma, na kutafsiri maneno ya kiingereza kuwa ya kiswahili, kwakweli hapana.
Hehehe wee jamaa bwege sana ujue
 
I think, he still figure out what to next, because for him is out of control.
 
Maybe there’s some political calculus behind this lack of leadership. Maybe there’s. Maybe.

I am astonished!


Mpaka huko kuna hilo tatizo kumbe maanguko mengi hua yanaanza kama hv hatimae hutimia tu

nisuala lamuda tu nawakati
 
Unapoandika kwa kiingereza ndio tujue umesoma sana au? Kama lengo lako ni kufikisha ujumbe kwa watanzania je unahakika ulichoandika kimeeleweka kwa watanzania
Kwani lazima ujibu wewe plz heshimu wenzako sio kila mtu anauwezo wa kuandika kiswahili.....
 
Back
Top Bottom