Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,616
Sio uchumi pekee unaopigana vita. Hata uchumi wa Vietnam ulikuwa mdogo sana, lakini USA walikubali kichapo, tena hadharani. Hata huko Afghanistan na Irak kumewashinda.Uchumi wa Texas ni zaidi ya uchumi wa Ufaransa miongoni mwa mataifa yenye nguvu kubwa za kiuchumi duniani. Sasa huyo Irani na US wapi na wapi? Sana sana janja yake ni kufadhili vikundi vya kigaidi kufanya hujuma; na Trump kawapiga ban imewauma hapana mchezo.