Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
[/QUOTE]
Kama gauni jeupe ni kanzu basi Yesu naye alivaa na pia alifuga ndevu na hata katika picha za sasa wanamuonyesha akiwa na ndevu, sema jingine kwa hilo umebuma.š¤£š¤£
[/QUOTE]
Hao ndo wale wale wa suti na tai
Kwaiyo tuwaambie iran waache kupiga domo na vitisho vyao kwasababu swala lao umelifikisha kwa mungu?Ni zaidi ya upuuzi kuishabikia vitu vya kipuuzi vinavyofanywa na USA kisa we ni mkristu! Binafsi mi ni mkristu lakini usiku wa jana saa 6 usku, nilipiga goti nikasali baba yetu 3 nikafanya maombi ma5, ombi la 1-3 yalilenga familia yangu, ombi la 4 lilitua kwa Mh Rais Magufuli na ombi la 5 na la mwisho nililiombea taifa la Iran na viongozi wake.
Nitasimama kwenye haki bila kujali dini yangu.
Sawa Na vita ya maji maji?šKwaiyo tuwaambie iran waache kupiga domo na vitisho vyao kwasababu swala lao umelifikisha kwa mungu?
Swala la vita halizuiliki kwa maombi, unaweza ukapiga goti usali ili risasi kutoka kwenye AK 47 isitoke kukuangamiza?
Duh inawezekana sisi watanzania ndio tunaongoza kwa upumbavu duniani. Yani unamuombea Magufuli halafu unasema unasimama kwenye haki??Ni zaidi ya upuuzi kuishabikia vitu vya kipuuzi vinavyofanywa na USA kisa we ni mkristu! Binafsi mi ni mkristu lakini usiku wa jana saa 6 usku, nilipiga goti nikasali baba yetu 3 nikafanya maombi ma5, ombi la 1-3 yalilenga familia yangu, ombi la 4 lilitua kwa Mh Rais Magufuli na ombi la 5 na la mwisho nililiombea taifa la Iran na viongozi wake.
Nitasimama kwenye haki bila kujali dini yangu.
Wana makubaliano/ mkataba maalum elewa hivyo. Kukataa kuvunjiwa mkataba kinyume na utaratibu ni kosa??? Kama wanataka kuwaondoa wawalipe kiasi walichowekeza.Mbona baadhi ya mataifa yametii agizo na wamesema wataheshimu mamlaka ya Iraq kwa kuwaondoa wanajeshi wao mfano ujerumani.
Yeye ninani mpaka akatalie kwenye nchi ambayo sio ya kwake?
Alafu unakuta mtu kutoka bara la giza anashangilia upuuzi kama huu.
Ni mikataba mingapi ambayo marekani ameivunja kuanzia mkataba wa nyukilia na Iran?Wana makubaliano/ mkataba maalum elewa hivyo. Kukataa kuvunjiwa mkataba kinyume na utaratibu ni kosa??? Kama wanataka kuwaondoa wawalipe kiasi walichowekeza.
Abel hakuoa wala hakuwa na mtoto,sasa wazungu wametokana na nani kama sio Cain?Waarab akili zero kabisa, tokea enzi za Abel and Cain, waarab ni Cain in behavior kabisa
Akili za Trump anazijua mwenyewe baada ya Iraq kuiamuru Marekani kuwaondoa wanajeshi wa Marekani nchini humo kutokana na Marekani kukiuka makubaliano ya uwepo wa wanajeshi hao.
Trump hakuchelewa kujibu kwa vitisho kama kawaida yake amesema Iraq ikitaka Marekani iondoke bila kinyongo basi nchini humo basi ilipe kwanza gharama za vita dhidi ya IS.
Na kulalamika kuwa Iraq imekuwa ikiithamini Irani kuliko Marekani.
Ametishia kuiwekea vikwazo vya kiuchumi iwapo Iraq itaviondoa kwa lazima vikosi vya Marekani nchini humo.
kwa kweli mambo ni mengi muda ni mchache.
hapo hakuna kutunishiana msuli, muajemi/muarabu hamtunishie msuli marekani? ni Russia tu ambaye anaweza kutunishiana msuli na marekani, sio China wala ulaya. Kipigo watakachopata hao waarabu ,historia haitakisahau watapigwa haraka na kwa muda mfupi.
kosa kubwa walilofanya Iran ni kutaka kupambana na marekani huku ikijiua huyo m-qurd aliyeuawawa ni kiongozi Wa kundi la kigaidi na hapo marekani anachukulia Irani nzima ni wafandhili Wa ugaidi. hapo kitakachofuata narudia tena historia itaandika kwa machozi na damu
Sio kuiba mafuta,wanahitaji Iraq kama kituo cha majeshi ya Marekani kupambana na Iran.
Marekani kwa sasa ni taifa linaloongoza kuzalisha mafuta duniani,pia siku hizi anauzia mataifa mengine.
Kwani Adam alikuwa na watoto wawili tu?Abel hakuoa wala hakuwa na mtoto,sasa wazungu wametokana na nani kama sio Cain?
Sent using Jamii Forums mobile app