Uingereza yaidhinisha kurudishwa Nchini Marekani kwa mwandishi na mwanzilishi wa mtandao wa WikiLeaks

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,021
1,609
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo ameidhinisha kurejeshwa kwa Julian Assange nchini Marekani ambapo mamlaka nchini humo zinamtafuta kuhusiana na nyaraka zilizofichuliwa na mtandao huo mwaka wa 2010 na 2011.

Mnamo 2019 Marekani iliwasilisha mashtaka 17 dhidi yake kwa kukiuka Sheria ya Ujasusi ambapo mtandao huo ulivujisha taarifa kuonesha wanajeshi wa Marekani wakiua mamia ya Raia wakati wa vita nchini Afghanistan

Shirika la Amnesty International imesema kuwa urejeshwaji huo utamuweka kwenye hatari kubwa na kutuma ujumbe wa kutisha kwa waandishi wa habari, hata hivyo Bw. Assange ana siku 14 za kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo

==========
Wikileaks founder Julian Assange’s extradition to the US has been approved by UK Home Secretary Priti Patel.

Mr Assange has 14 days to appeal the decision, the Home Office said.

It said the courts found that extradition would not be "incompatible with his human rights" and that while in the US "he will be treated appropriately".

Mr Assange is wanted by the American authorities over documents leaked in 2010 and 2011.
He has been in prison since he was removed from the Ecuadorian embassy in London in 2019 and arrested by British police, after Ecuador withdrew his asylum status. The Australian is being held at Belmarsh prison in London after mounting a lengthy battle to avoid being extradited.

Responding to the home secretary's order, Wikileaks confirmed that it would appeal her decision.
Mr Assange's wife, Stella, said her husband had done "nothing wrong" and "he has committed no crime".
"He is a journalist and a publisher, and he is being punished for doing his job."

In May 2019, while serving a jail sentence in the UK for breaching bail, the US justice department filed 17 charges against Mr Assange for violating the Espionage Act - alleging that material obtained by Wikileaks endangered lives.

Mr Assange's legal team claimed that classified documents published by Wikileaks, which related to the Iraq and Afghanistan wars, exposed US wrongdoing and were in the public interest.
The Wikileaks documents revealed how the US military had killed hundreds of civilians in unreported incidents during the war in Afghanistan, while leaked Iraq war files showed 66,000 civilians had been killed, and prisoners tortured, by Iraqi forces.

The Supreme Court ruled in March that Mr Assange's case raised no legal questions over assurances the US had given to the UK about how he is likely to be treated.
Amnesty International said enabling the extradition to take place "would put him at great risk and sends a chilling message to journalists".

"Diplomatic assurances provided by the US that Assange will not be kept in solitary confinement cannot be taken on face value given previous history", general secretary Agnes Callamard said.
Former government minister David Davis said he does not believe Mr Assange will have a fair trial in the US.
"This extradition treaty needs to be rewritten to give British and American citizens identical rights, unlike now", he said.

A Home Office spokesperson said that under the Extradition Act 2003, the secretary of state "must sign" an extradition order if there are "no grounds to prohibit the order being made".

"The UK courts have not found that it would be oppressive, unjust or an abuse of process to extradite Mr Assange", the Home Office added.


SOURCE: BBC
 
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo ameidhinisha kurejeshwa kwa Julian Assange nchini Marekani ambapo mamlaka nchini humo zinamtafuta kuhusiana na nyaraka zilizofichuliwa na mtandao huo mwaka wa 2010 na 2011.

Mnamo 2019 Marekani iliwasilisha mashtaka 17 dhidi yake kwa kukiuka Sheria ya Ujasusi ambapo mtandao huo ulivujisha taarifa kuonesha wanajeshi wa Marekani wakiua mamia ya Raia wakati wa vita nchini Afghanistan

Shirika la Amnesty International imesema kuwa urejeshwaji huo utamuweka kwenye hatari kubwa na kutuma ujumbe wa kutisha kwa waandishi wa habari, hata hivyo Bw. Assange ana siku 14 za kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo

==========
Wikileaks founder Julian Assange’s extradition to the US has been approved by UK Home Secretary Priti Patel.

Mr Assange has 14 days to appeal the decision, the Home Office said.

It said the courts found that extradition would not be "incompatible with his human rights" and that while in the US "he will be treated appropriately".

Mr Assange is wanted by the American authorities over documents leaked in 2010 and 2011.
He has been in prison since he was removed from the Ecuadorian embassy in London in 2019 and arrested by British police, after Ecuador withdrew his asylum status. The Australian is being held at Belmarsh prison in London after mounting a lengthy battle to avoid being extradited.

Responding to the home secretary's order, Wikileaks confirmed that it would appeal her decision.
Mr Assange's wife, Stella, said her husband had done "nothing wrong" and "he has committed no crime".
"He is a journalist and a publisher, and he is being punished for doing his job."

In May 2019, while serving a jail sentence in the UK for breaching bail, the US justice department filed 17 charges against Mr Assange for violating the Espionage Act - alleging that material obtained by Wikileaks endangered lives.

Mr Assange's legal team claimed that classified documents published by Wikileaks, which related to the Iraq and Afghanistan wars, exposed US wrongdoing and were in the public interest.
The Wikileaks documents revealed how the US military had killed hundreds of civilians in unreported incidents during the war in Afghanistan, while leaked Iraq war files showed 66,000 civilians had been killed, and prisoners tortured, by Iraqi forces.

The Supreme Court ruled in March that Mr Assange's case raised no legal questions over assurances the US had given to the UK about how he is likely to be treated.
Amnesty International said enabling the extradition to take place "would put him at great risk and sends a chilling message to journalists".

"Diplomatic assurances provided by the US that Assange will not be kept in solitary confinement cannot be taken on face value given previous history", general secretary Agnes Callamard said.
Former government minister David Davis said he does not believe Mr Assange will have a fair trial in the US.
"This extradition treaty needs to be rewritten to give British and American citizens identical rights, unlike now", he said.

A Home Office spokesperson said that under the Extradition Act 2003, the secretary of state "must sign" an extradition order if there are "no grounds to prohibit the order being made".

"The UK courts have not found that it would be oppressive, unjust or an abuse of process to extradite Mr Assange", the Home Office added.


SOURCE: BBC
UKWELI SIKU ZOTE HUUMA
 
Walikua wanaficha kwenye kivuli cha kulinda amani na kupambana na ugaidi kumbe wanaua hadi raia wasiohatia.
 
Hawa jamaa ni washenzi xnaa alaf kigezo chao kikubwa ni kusingizia ugaidi kumbe wao ndio magaidi.....Alf wamefanikiwa kupotosha waafrica wengi kupitia movie zao na vyombo vyao vya habari..maana kila movie zao wakionesha wapo nchi za kiarabu wao wanapindisha ukweli na kwa kuonesha waarabu wakijitoa muhanga tuh ili watu wajue kua hao jamaa wamezoea vita
Na hili wamefanikiwa xnaa maana tunaona jinsi wenzetu wanavyozichukulia izo nchi za kiarabu kama za kigaidi
 
Back
Top Bottom