hapo hakuna kutunishiana msuli, muajemi/muarabu hamtunishie msuli marekani? ni Russia tu ambaye anaweza kutunishiana msuli na marekani, sio China wala ulaya. Kipigo watakachopata hao waarabu ,historia haitakisahau watapigwa haraka na kwa muda mfupi.
kosa kubwa walilofanya Iran ni kutaka kupambana na marekani huku ikijiua huyo m-qurd aliyeuawawa ni kiongozi Wa kundi la kigaidi na hapo marekani anachukulia Irani nzima ni wafandhili Wa ugaidi. hapo kitakachofuata narudia tena historia itaandika kwa machozi na damu
Pia usisahau iyeuawa ,wao ndo walimpandikiza atengeneze vikundi ugaidi.hapo hakuna kutunishiana msuli, muajemi/muarabu hamtunishie msuli marekani? ni Russia tu ambaye anaweza kutunishiana msuli na marekani, sio China wala ulaya. Kipigo watakachopata hao waarabu ,historia haitakisahau watapigwa haraka na kwa muda mfupi.
kosa kubwa walilofanya Iran ni kutaka kupambana na marekani huku ikijiua huyo m-qurd aliyeuawawa ni kiongozi Wa kundi la kigaidi na hapo marekani anachukulia Irani nzima ni wafandhili Wa ugaidi. hapo kitakachofuata narudia tena historia itaandika kwa machozi na damu
Hapo kwenye Magufuli basi,umeshaharibu!Ni zaidi ya upuuzi kuishabikia vitu vya kipuuzi vinavyofanywa na USA kisa we ni mkristu! Binafsi mi ni mkristu lakini usiku wa jana saa 6 usku, nilipiga goti nikasali baba yetu 3 nikafanya maombi ma5, ombi la 1-3 yalilenga familia yangu, ombi la 4 lilitua kwa Mh Rais Magufuli na ombi la 5 na la mwisho nililiombea taifa la Iran na viongozi wake.
Nitasimama kwenye haki bila kujali dini yangu.
Proof?Pia usisahau iyeuawa ,wao ndo walimpandikiza atengeneze vikundi ugaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki ni ipi?Ni zaidi ya upuuzi kuishabikia vitu vya kipuuzi vinavyofanywa na USA kisa we ni mkristu! Binafsi mi ni mkristu lakini usiku wa jana saa 6 usku, nilipiga goti nikasali baba yetu 3 nikafanya maombi ma5, ombi la 1-3 yalilenga familia yangu, ombi la 4 lilitua kwa Mh Rais Magufuli na ombi la 5 na la mwisho nililiombea taifa la Iran na viongozi wake.
Nitasimama kwenye haki bila kujali dini yangu.
Uliwaombea kitu viongozi wa Iran mkuu?Ni zaidi ya upuuzi kuishabikia vitu vya kipuuzi vinavyofanywa na USA kisa we ni mkristu! Binafsi mi ni mkristu lakini usiku wa jana saa 6 usku, nilipiga goti nikasali baba yetu 3 nikafanya maombi ma5, ombi la 1-3 yalilenga familia yangu, ombi la 4 lilitua kwa Mh Rais Magufuli na ombi la 5 na la mwisho nililiombea taifa la Iran na viongozi wake.
Nitasimama kwenye haki bila kujali dini yangu.
uki wakuta na migauni yao na kobazi chini wanaona kama washa pass maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Fala weweYesu yupi uyo mnaemuongelea, au ni yule muigizaji?
Yule kwenye ile movie wangeamua wangeweza hata kumvalisha bukta tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Umekielewa Lakini Ulochokiandika ?!...hapo hakuna kutunishiana msuli, muajemi/muarabu hamtunishie msuli marekani? ni Russia tu ambaye anaweza kutunishiana msuli na marekani, sio China wala ulaya. Kipigo watakachopata hao waarabu ,historia haitakisahau watapigwa haraka na kwa muda mfupi.
kosa kubwa walilofanya Iran ni kutaka kupambana na marekani huku ikijiua huyo m-qurd aliyeuawawa ni kiongozi Wa kundi la kigaidi na hapo marekani anachukulia Irani nzima ni wafandhili Wa ugaidi. hapo kitakachofuata narudia tena historia itaandika kwa machozi na damu
Naona umejikita kuuombea udhalimu.Ni zaidi ya upuuzi kuishabikia vitu vya kipuuzi vinavyofanywa na USA kisa we ni mkristu! Binafsi mi ni mkristu lakini usiku wa jana saa 6 usku, nilipiga goti nikasali baba yetu 3 nikafanya maombi ma5, ombi la 1-3 yalilenga familia yangu, ombi la 4 lilitua kwa Mh Rais Magufuli na ombi la 5 na la mwisho nililiombea taifa la Iran na viongozi wake.
Nitasimama kwenye haki bila kujali dini yangu.
Sasa hapa naona unamsema Mungu wako Yesu
Sent from my iPhone using JamiiForums