Trump aliwalea madikteta wa Afrika, kung'oka kwake ni pigo kwao. Sasa wataanza kushughulikiwa bila huruma

Duuh meibii.......
FB_IMG_1604787942574.jpg
 
Hauna uchambuzi wowote wa maana. Bora uendelee kupiga picha za madiwani 15 wa Chadema nchi nzima na uwe unazileta hapa jinsi wanavyochapa kazi, labda hiyo utaweza. Siasa za kimataifa achana nazo , huzijui. Huwezi kuwa mshabiki wa CHADEMA na bado ukawa mtaalam wa kuchambua siasa za kimataifa.
Si mchambuzi tu bali pia mimi ni tajiri niliyewekeza nchi kadhaa duniani
 
Ni kweli kabisa madikteta wa Afrika waanze kujiandaa kwa sababu wakati wa utawala wa Trump hakuwa na interest yeyote kushughulikia mambo yanayohusu haki za binadamu kwa Afrika. Utaona kuanzia January 20, 2021 haya mambo yanaaza kushughulikiwa kwa ukaribu kabisa na serikali ya Joe Biden.
 
Kwenye hii ishu ya Demokrasia Marekani ni wanafiki mno;

1. Wao walipata Uhuru baada ya kutwangana na waingereza kwa msaada wa Ufaransa mwaka 1776.

2. Toka mwaka 1776 ni mpaka kufikia 1912 ndipo wanawake waliruhusiwa kupiga kura, ikiwa na maana kwamba kwa miaka 200 mwanamke hakuwa na haki ya kupiga kura.

3. Mwaka 1960's ndipo mtu mweusi naye akapata ruhusa ya kupiga kura.

4. Ni baada ya miaka 244 ndipo Marekani wanapata mwanamke wa kwanza kama makamu wa Rais.

5. Tanzania tuna miaka 59 tu toka tupate uhuru ila marekani anataka tufanane kila kitu nae ambaye ana uzoefu wa miaka 244 kwenye hiyo system, hii sio sawa.

Hata kama Demokrasia ni muhimu Sana kuna haja ya mataifa mengine kutuacha ili tuijenge demokrasia yetu kama wao bila kuingiliwa na Taifa lolote.

Maswala yeyote ya kutuingilia kama Taifa ni kukiuka haki na kutoheshimu maamuzi yetu kama Taifa huru, sisi kama watanzania tunayohaki ya kukua kidemokrasia kwa namna tunavyoona inafaa kama Taifa.
 
Kwenye hii ishu ya Demokrasia Marekani ni wanafiki mno;

1. Wao walipata Uhuru baada ya kutwangana na waingereza kwa msaada wa Ufaransa mwaka 1776.

2. Toka mwaka 1776 ni mpaka kufikia 1912 ndipo wanawake waliruhusiwa kupiga kura, ikiwa na maana kwamba kwa miaka 200 mwanamke hakuwa na haki ya kupiga kura.

3. Mwaka 1960's ndipo mtu mweusi naye akapata ruhusa ya kupiga kura.

4. Ni baada ya miaka 244 ndipo Marekani wanapata mwanamke wa kwanza kama makamu wa Rais.

5. Tanzania tuna miaka 59 tu toka tupate uhuru ila marekani anataka tufanane kila kitu nae ambaye ana uzoefu wa miaka 244 kwenye hiyo system, hii sio sawa.

Hata kama Demokrasia ni muhimu Sana kuna haja ya mataifa mengine kutuacha ili tuijenge demokrasia yetu kama wao bila kuingiliwa na Taifa lolote.

Maswala yeyote ya kutuingilia kama Taifa ni kukiuka haki na kutoheshimu maamuzi yetu kama Taifa huru, sisi kama watanzania tunayohaki ya kukua kidemokrasia kwa namna tunavyoona inafaa kama Taifa.


Umenena jambo la msingi 💪
 
Umenena jambo la msingi 💪
Sahihi kabisa huwa nasema mara zote kama Demokrasia ni kitu muhimu sana kwa maisha ya mwanadamu historia inaonesha kuwa ili kufikia hatua flani unapaswa kupitia hatua kadhaa, ni mchakato , sio jambo la kutokea usiku mmoja.

Marekani na mataifa mengine wanapolazimisha baadhi ya mambo wanatuingilia mchakato wetu na kuharibu trend yake.

Watuache tukue kidemokrasia kama wao walivyokua,

Marekani haijafikia level ya demokrasia iliyopo sasa kwa siku au miaka michache, ipo hapo ilipo baada ya miaka 244.

Ni makosa wao kutaka tulingane na sio haki kabisa. Wanatudhulumu haki yetu ya kukua.

Japan's mfano wamekua wakitawaliwa na Chama Kimoja kwa miongo kadhaa sasa, pia raia wake almost nusu hawana interest na maswala ya kisiasa.

China same as Japan, Chama kimoja.

UK ufalme, Uk haina hata katiba ya kuandikwa.

Ujerumani Wana Angela Merkel ambaye huu ni mhula wa tatu yupo madarakani.

Taratibu utaona mataifa mengi yanaachana na masuala ya kisiasa na kuingia kwenye kutafuta maendeleo.

Mtazamo wangu ni kwamba hawa wazungu wanatumia demokrasia kama tool ya kutuchelewesha kimaendeleo , wanatukip busy na mambo ambayo wao wameshatambua hayana maana sasa.

Sada sijui kama waafrika wenzangu mnaliona hili, ila ipo haja ya kujifanyia tathmini na kuona kama huu mfumo ni sahihi kwetu na hii ndio kazi ambayo wasomi wetu wanapaswa kufanya lakini kwa bahati mbaya ndio hao tunawaona wakitumika na mataifa ya kigeni na kuamua kuchafua mataifa yao. SAD.
 
Rais wa Marekani aliyeng'olewa madarakani Donald Trump alisaidia Madilteta wa kiafrica kung'ara na udikteta wao kwa vile aliidharau Africa Aliyoiita Shit hole na kuachana nayo , huku akijua wazi kwamba Punda hawezi kwenda bila mijeledi , jambo hili la USA kuipuuza Africa na watu wake lilipelekea kukua kwa udikteta , uonevu na mauaji ya raia kwenye nchi za kiafrica bila mauaji hayo kuchunguzwa wala kuhojiwa.

Madikteta walijiachia na kutawala kwa mkono wa chuma huku wakiminya haki na uhuru wa Raia , wakiumiza raia na kuamuru mauaji bila kuguswa , kiukweli sikuwahi kupenda aina ya utawala wa Trump na hasa sera yake kuhusu Africa , nimefurahishwa na kung'olewa kwake.

Bali baada ya Joe Biden wa Democrat kutwaa madaraka viongozi madikteta wa kiafrica wajiandae kukamatwa na kushughulikiwa ipasavyo , hawataachwa waendelee kutawala nchi zao kibabe huku wakiua raia kama kuku.
Rais Yoweri Museveni amedumu kwenye urais wa Uganda kuanzia mwaka 1986. Kwahiyo ametawala pamoja na marais 6 wa Marekani na wa Saba (7) aliyechaguliwa wiki hii
1.Ronald Reagan
2.George Bush
3.Bill Clinton
4.George W.Bush
5.Barack Obama
6.Donald J.Trump
7.Joe Biden
Ukiona dikteta wa Afrika anaangushwa ujue aligusa maslahi ya wakubwa. Ukikaa kimya wakafanya wanavyotaka na wazungu hawakuoni kama dikteta.
Wazungu ni wanafiki sana
 
Rais wa Marekani aliyeng'olewa madarakani Donald Trump alisaidia Madilteta wa kiafrica kung'ara na udikteta wao kwa vile aliidharau Africa Aliyoiita Shit hole na kuachana nayo , huku akijua wazi kwamba Punda hawezi kwenda bila mijeledi , jambo hili la USA kuipuuza Africa na watu wake lilipelekea kukua kwa udikteta , uonevu na mauaji ya raia kwenye nchi za kiafrica bila mauaji hayo kuchunguzwa wala kuhojiwa.

Madikteta walijiachia na kutawala kwa mkono wa chuma huku wakiminya haki na uhuru wa Raia , wakiumiza raia na kuamuru mauaji bila kuguswa , kiukweli sikuwahi kupenda aina ya utawala wa Trump na hasa sera yake kuhusu Africa , nimefurahishwa na kung'olewa kwake.

Bali baada ya Joe Biden wa Democrat kutwaa madaraka viongozi madikteta wa kiafrica wajiandae kukamatwa na kushughulikiwa ipasavyo , hawataachwa waendelee kutawala nchi zao kibabe huku wakiua raia kama kuku.
Mawazo ya kina Mangungu enzi zileee! Chandimu mko hovyo kabisa!
 
Kwenye hii ishu ya Demokrasia Marekani ni wanafiki mno;

1. Wao walipata Uhuru baada ya kutwangana na waingereza kwa msaada wa Ufaransa mwaka 1776.

2. Toka mwaka 1776 ni mpaka kufikia 1912 ndipo wanawake waliruhusiwa kupiga kura, ikiwa na maana kwamba kwa miaka 200 mwanamke hakuwa na haki ya kupiga kura.

3. Mwaka 1960's ndipo mtu mweusi naye akapata ruhusa ya kupiga kura.

4. Ni baada ya miaka 244 ndipo Marekani wanapata mwanamke wa kwanza kama makamu wa Rais.

5. Tanzania tuna miaka 59 tu toka tupate uhuru ila marekani anataka tufanane kila kitu nae ambaye ana uzoefu wa miaka 244 kwenye hiyo system, hii sio sawa.

Hata kama Demokrasia ni muhimu Sana kuna haja ya mataifa mengine kutuacha ili tuijenge demokrasia yetu kama wao bila kuingiliwa na Taifa lolote.

Maswala yeyote ya kutuingilia kama Taifa ni kukiuka haki na kutoheshimu maamuzi yetu kama Taifa huru, sisi kama watanzania tunayohaki ya kukua kidemokrasia kwa namna tunavyoona inafaa kama Taifa.
Unakula, unashiba, makabati yamejaa minguo(in Mwl Nyerere voice) watoto wako wanasoma Feza.
Watu wanakufa
Watu wanaswekwa ndani
Ufisadi wa wazi wazi unafanyika
Vitisho
Ubabe.
Ni lazima ungependa hii hali iendelee kwani inakuneemesha wewe na familia yako.

Ukitaka tukanyage kila hatua aliyokanyaga mmarekani unamaanisha hata ndege sisi hatutakiwi kuwa nazo kwani mpaka sasa hatujatengeneza ndege yoyote.
Magari
Simu
Tv nk
Lakini tunapata yote hayo kwasababu tayari kuna watu wameshafanya hivyo sisi hatuhitaji kuundergo the whole process bali kuchukua yaliyo mema na kuendelea kuishi.
But according to you, we have to wait just because you are rejoicing on top of brother's blood.
 
Sahihi kabisa huwa nasema mara zote kama Demokrasia ni kitu muhimu sana kwa maisha ya mwanadamu historia inaonesha kuwa ili kufikia hatua flani unapaswa kupitia hatua kadhaa, ni mchakato , sio jambo la kutokea usiku mmoja.

Marekani na mataifa mengine wanapolazimisha baadhi ya mambo wanatuingilia mchakato wetu na kuharibu trend yake.

Watuache tukue kidemokrasia kama wao walivyokua,

Marekani haijafikia level ya demokrasia iliyopo sasa kwa siku au miaka michache, ipo hapo ilipo baada ya miaka 244.

Ni makosa wao kutaka tulingane na sio haki kabisa. Wanatudhulumu haki yetu ya kukua.

Japan's mfano wamekua wakitawaliwa na Chama Kimoja kwa miongo kadhaa sasa, pia raia wake almost nusu hawana interest na maswala ya kisiasa.

China same as Japan, Chama kimoja.

UK ufalme, Uk haina hata katiba ya kuandikwa.

Ujerumani Wana Angela Merkel ambaye huu ni mhula wa tatu yupo madarakani.

Taratibu utaona mataifa mengi yanaachana na masuala ya kisiasa na kuingia kwenye kutafuta maendeleo.

Mtazamo wangu ni kwamba hawa wazungu wanatumia demokrasia kama tool ya kutuchelewesha kimaendeleo , wanatukip busy na mambo ambayo wao wameshatambua hayana maana sasa.

Sada sijui kama waafrika wenzangu mnaliona hili, ila ipo haja ya kujifanyia tathmini na kuona kama huu mfumo ni sahihi kwetu na hii ndio kazi ambayo wasomi wetu wanapaswa kufanya lakini kwa bahati mbaya ndio hao tunawaona wakitumika na mataifa ya kigeni na kuamua kuchafua mataifa yao. SAD.
Hawa wanaharakati uchwara kina Lissu, hawawezi kukuelewa mkuu! Kutwa kucha kuchongea ili waingie madarakani!
 
Una matumaini hewa, mkuu. Unajua African dictators wamekutwa na kuachwa wakiwa madarakani na U.S. presidents wangapi?
Hivi unajua kabla ya Trump kuingia madarakani madikteta wangapi wameondolewa kwa msaada wa Tawala za Washington?
Na Nina uhakika kama uchaguzi wa US ungekuwa umefanyika labda May 2020 na Biden akam chakaza Trump, basi huyu wa kura fake hakika Leo hii angekuwa kule kijijini kwao anauguza wagonjwa wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom