Trump akichanja mbuga Jeb Bush ajitoa

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Mpambani wa awali kupata wagombea kiti cha uraisi marekani kupitia chama cha Republican unazidi kupamba moto baada ya mgombezi maarufu "Donald Trump" kushinda kura za South Caroline na huku mpinzani mmoja Jeb Bush (kaka yake na baba yake waliwahi kuwa maraisi pia) akijitoa baada ya kufanya vibaya

Kwa upande wa Democratic mama Hilary Clinton naye ameshinda jimbo la Nevada katika chaguzi zilizofanyika jana
 
ImageUploadedByJamiiForums1456036818.560659.jpg

Acha wamchague tu huyu kichaa wao ili aje awakumbushe akina Museveni nini maana ya uchaguzi
 
ashinde tu aje awatumbue majipu akina Jecha,Nkurunzinza,Mugabe,Museveni na Joseph Kabila hawa jamaa ving'ang'anizi sana wa madaraka!
 
Mpambani wa awali kupata wagombea kiti cha uraisi marekani kupitia chama cha Republican unazidi kupamba moto baada ya mgombezi maarufu "Donald Trump" kushinda kura za South Caroline na huku mpinzani mmoja Jeb Bush (kaka yake na baba yake waliwahi kuwa maraisi pia) akijitoa baada ya kufanya vibaya

Kwa upande wa Democratic mama Hilary Clinton naye ameshinda jimbo la Nevada katika chaguzi zilizofanyika jana
South Caroline = South Carolina (SC)
Democratic = Democrat
Hilary =. Hillary
 
Sidhani kama tunakuwa sahihi kwa kutarajia kuwa Trump atakuwa suluhisho kwa matatizo yetu ya Africa,marekani ina nguvu sababu ina mifumo imara ndani na nje ya kuipatia fedha serikali,ukusanyaji imara wa kodi ni mfano mojawapo wa mifumo hyo,tunachoweza kufanya ni kuisaidia serikali kwa kutumia utashi na taaluma zetu kufika tunapopakusudia. suluhisho pekee ni sisi wenyewe pamoja na viongoz wetu kuamua kuibadili Africa.
 
Hizi ni habari mbaya sana kwa mu7 mali zake zoote usa na usalama wake mashakani cant wait for africa kuwa koloni tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom