minuz
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 624
- 216
American wenyewe wamechoka na porojo na diplomatic missions, wanataka mtu wa action na watampa trump,ajabu sasa hivi hata humu jf watu wamebadilika wana anza kumkubali trump kwa mbaali![emoji3] binadamu viumbe wa ajabu sanaWamerikani wachague amma kuongozwa na huyu kichaa(kwa mtazamo wa wengi wanamwona hivyo)au mwanamke mama Clinton.huyu Trump anatoaga shit huwezi kuamini kama anaomba kura sio sisi waafrika uongo uongo mwingi kuchekeana tu usoni.