Trump akichanja mbuga Jeb Bush ajitoa

Trump akichanja mbuga Jeb Bush ajitoa

Hivu huyu mjaluo Obama ana maana gani aliposema Trump hatakuwa rais wa USA. Hivi nako USA rais aliye madarakani ana nguvu ya kuamua rais awe nani kama ilivyo kwenye bara letu la kisenge Afrika!!?
 
Ndio rais anayefata wa USA ila maraisi madikteter watakipata
 
Unahitaji shule ya uumbaji mkuu, tafuta darasa.
Panua wigo wa kufikiri na kuwaza zaidi na zaidi. Usiwe na narrow mind namna hiyo.

Anza na hili: Binadamu asingekuwepo dunia ingepungukiwa na nini?
 
Dunia itapungikiwa mengi sana tu Kwakua Mungu muumba aliona ni sahihi mimi kuwepo kwa muda huu, na ni sahihi kwa sisi kama waafrika kuwepo, hao ni watu waliokosa baraka ya utu ndani ya nafsi zao usidanganyike na maneno yao ya kilaghai. Mungu anatupenda wote kwa usawa.

Una uakika gani kama mungu anatupenda kwa usawa?
 
Wamerikani wachague amma kuongozwa na huyu kichaa(kwa mtazamo wa wengi wanamwona hivyo)au mwanamke mama Clinton.huyu Trump anatoaga shit huwezi kuamini kama anaomba kura sio sisi waafrika uongo uongo mwingi kuchekeana tu usoni.
 
Sidhani kama tunakuwa sahihi kwa kutarajia kuwa Trump atakuwa suluhisho kwa matatizo yetu ya Africa,marekani ina nguvu sababu ina mifumo imara ndani na nje ya kuipatia fedha serikali,ukusanyaji imara wa kodi ni mfano mojawapo wa mifumo hyo,tunachoweza kufanya ni kuisaidia serikali kwa kutumia utashi na taaluma zetu kufika tunapopakusudia. suluhisho pekee ni sisi wenyewe pamoja na viongoz wetu kuamua kuibadili Africa.
Mkuu wise-comedian upo sawa but je!tunasafiri bus moja na viongozi wetu?wao wanatuaminisha kwamba twiga ni nembo ya taifa,tukigeuza visogo huku nyuma yanakuja madege ya kijeshi kuwazoa hao twiga kupeleka ng'ambo,kisha hao ulaya kuomba omba ilhali wanauza vitegauchumi vyetu,huyu jamaa akikamata Marekani hamna Mwafrika atapeleka bakuli pale,ndo tujifunze kuthamini vyetu.
 
Panua wigo wa kufikiri na kuwaza zaidi na zaidi. Usiwe na narrow mind namna hiyo.

Anza na hili: Binadamu asingekuwepo dunia ingepungukiwa na nini?
You are narrow minded that is why i referred your little brain to creation, kasome tena uumbaji, inaonekana hujui hata hapa duniani umekuja kufanya nini, what a useless creature ...
 
Dunia itapungikiwa mengi sana tu Kwakua Mungu muumba aliona ni sahihi mimi kuwepo kwa muda huu, na ni sahihi kwa sisi kama waafrika kuwepo, hao ni watu waliokosa baraka ya utu ndani ya nafsi zao usidanganyike na maneno yao ya kilaghai. Mungu anatupenda wote kwa usawa.

Waafrica kila dakika mtoto mmoja anazaliwa akiwa na virus vya ukimwi... Kila siku tunakufa kwa malaria.. Tumeshindwa hata kutafuta chanjo ya magonjwa haya sisi kama sisi mpaka tupate misaada ya hao wazungu nini faida ya sisi waafrika kuwepo dunian kama sio kuijaza dunia na kuwapa chance wakina mugabe na museven kutunyonya na kutufukarisha....
 
You are narrow minded that is why i referred your little brain to creation, kasome tena uumbaji, inaonekana hujui hata hapa duniani umekuja kufanya nini, what a useless creature ...
Ubongo wa kuku ndiyo wewe, jibu swali wewe usingekuwepo dunia ingepungukiwa nini?
 
Back
Top Bottom