BOSCOCASTO
Member
- May 21, 2013
- 12
- 2
Ukweli ni kwamba usafiri nafuu TZ ni TRAIN(Gari moshi) ambapo mimi huwaga naenjoy sana ninapo safiri kwa kutumia usari huu. Najua kuna watu wataniona kama katuni ila kwa wale watu wa Tabora, Kigoma ,Mpanda n.k wataniunga mkono..USAFIRI WA TRAIN unanipaga raha sana kwa sababu kuna usalama wa aina yake. Hata hivyo nasikitika serikali inashindwa kuboresha miundo mbinu na huduma muhimu hasa ktk reli ya kati! Lakini hiyo sio ishu mimi ntaendelea kufurahia usafiri wangu wa kawaida......