True story!

<br />
<br />
haina haja ya kuweka bifu.

Kwani hilo ni bifu?
Nikujaribu tu kumkumbusha ili awe na respt KWA KILA MTU ( starting from the newborn to the eldery people)
Ni vizuri kumheshimu kila mtu lakini usimwogope YEYOTE!

Halafu kuna waalimu huwa wanajiona kuwa wao nd'o wao eti kisa wanakufundisha, kusingekuwa kunatokea ma_Professor basi! Kama ingekuwa mwalimu (namaanisha lowel level schools) nd'o anaelewa kila kitu wanafunzi wasingekuwa wanafaulu na kuwa ktk level iliyo juu yao!

RESPECT!!!!!!!!!!!!!!
 
<br />
<br />
hiyo kwel man!
 
<br />
<br />
sasa na wewe nani kakuuliza yote hayo?
 
Albert Einstein alipopelekwa kuanza shule mwalimu aliyempokea alimwambia mama yake "Anaonekana mzito sidhani kama ataweza"

Leo hii Einstein ameiachia homework dunia kwa yale aliyovumbua kama mwana sayansi.

Waalimu wengine hawana wito. ilikuwa wajibu wake kukufunza na siyo kukupiga na kukukatisha tamaa!
 
<br />
<br />
Nimetafakari sana nikajua kuwa kufundisha ni kipaji.
 
Kweli.mfano wapo waalimu wanaosema 'mtoto huyu haelewi' wasijue ni kwamba 'haelewi kwa style unatumia kumfundishia'
 
Kweli.mfano wapo waalimu wanaosema 'mtoto huyu haelewi' wasijue ni kwamba 'haelewi kwa style unatumia kumfundishia'
tatizo waalimu weng hawaamin kuwa wanaweza kuwa chanzo cha tatizo. Ndio maana kila matokeo yakitoka wanakuwa wakal kwa wanafunz bila kufikiri kuwa labda wamechangia.
 
Kama yeye alikuwa anajua si angefanya mwenyewe.
 
Inaaminika amra nyingi wale waalimu wasiojua vizuri masomo yao huishia kuwa wakali sana
 
Inaaminika amra nyingi wale waalimu wasiojua vizuri masomo yao huishia kuwa wakali sana
<br />
<br />
o level kuna mwl wangu alikuwa anafundsha Englsh na Kiswahil. Kwa uhaba wa Waalimu akapewa Physics form two,. Ilikuwa shughuli. Ukimuuliza swali ni bifu kubwa.
 
Mimi nakumbuka mmoja alikuwa sii mnoko akikuta 'unadrop' anamezea sasa ole wako itakapokuja somo lake la physical chemistry umuulize swali gumu! ananuna kweli
 
Mimi nakumbuka mmoja alikuwa sii mnoko akikuta 'unadrop' anamezea sasa ole wako itakapokuja somo lake la physical chemistry umuulize swali gumu! ananuna kweli
<br />
<br />
waalimu kama hawa wanaua vipaji vya wanafunzi vya udadis.
 
ni kweli 'they believe in intimidating the student' as a defence mechanism - lakini hii ipo sana kwenye elimu yetu hapa tz kwa ngazi zote kuanzia chekechea hadi vyuoni
 
Hii pia ipo vyuoni. Waalimu hawapendi kujituma. Hawajifunzi mambo mapya. Wanakuwa wagumu kujibu maswal ya wanafunz, wanakula wakal.
 
Inasikitisha pale mhadhiri anapoonekana hafurahii mwanafunzi wake anapoonesha kuelewa vizuri na kirahisi jambo analomfundisha
 

Umenikumbusha kuna bwana mmoja aliwahi kumkopesha ndugu yake kiasi cha sh elfu kumi wakati huo lakini hadi leo anakumbuka pesa yake na anasema kwa wakati huo ni sawa na kama milioni kumi ya sasa ambayo angeweza kuwa na mkoko na yeye na mbaya zaidi hajawahi tena kushika hela nyingi kiasi hicho hivyo hatasahau hadi kaburini na pamoja na kuwa ni ndugu yake lakini hata jina lake huwa hapendi lisipite katika masikio yake.
 
pole sana.. sasa kwa nini ulipita mbele wakati ulikuwa unajua kuwa huwezi hilo swali?
 
pole sana.. sasa kwa nini ulipita mbele wakati ulikuwa unajua kuwa huwezi hilo swali?
<br />
<br />
lile swal kwakwel haliku gumu, nilikuwa naliweza kabla sijapita mbele. Human imperfection, nilijikuta nimefanya ndivyo sivyo. Halafu wazaz wangu walinifunza kuwa nisiogope kujaribu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…