King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
- Thread starter
- #21
Mimi ningewajutisha!
Hahaaaaa Ungejulikana kuanzia na watoto warembo wa mosco mpaka ada estate lol
Mimi ningewajutisha!
When people are intimidated by your present, they always bring your past. They forget you don't live there anymore.
Hahhahaha!noma bab!yaani moscow magengeni,kipepeo mpaka maridadi bar!Hahaaaaa Ungejulikana kuanzia na watoto warembo wa mosco mpaka ada estate lol
Hashim kipindi yupo Makongo 2003 alikuwa ANAPENDA BATAAAAA! Na sketi nazo alikuwa anazimind, hakauki skonga kwetu kufukuzia sketi, ila alikuwa LOADED na kampani yake si dhani kama alikuwa anauza kahawa ila alikuwa wakuja flani. Basi akawa anasemaga ATAOA WANAWAKE WAREFU MAMISS KAMA Millen Magese. Nikajisemeaga umuoe Millen Ujambeee! Kumbe bana NEVER SAY NEVER!!!!!!!!!!!!!! Hapa nataka nikamkope mtaji wa VITUMBUA!!!!!!lol!
Wewe wa wapi? Nikajua wa ma boarding mikoani huko ujanja umeujulia chuo... Ushaamegwa sana na wauza mbege shamba huko ( jokin)
Weweeeeee! Mimi toto ya town UPANGA, OLEVEL NA ALEVEL, CHUO DSM. Yaani bon here here 100% Wakuja nawacheki tu.
jockate alichezea bahati!
Hashim kipindi yupo Makongo 2003 alikuwa ANAPENDA BATAAAAA! Na sketi nazo alikuwa anazimind, hakauki skonga kwetu kufukuzia sketi, ila alikuwa LOADED na kampani yake si dhani kama alikuwa anauza kahawa ila alikuwa wakuja flani. Basi akawa anasemaga ATAOA WANAWAKE WAREFU MAMISS KAMA Millen Magese. Nikajisemeaga umuoe Millen Ujambeee! Kumbe bana NEVER SAY NEVER!!!!!!!!!!!!!! Hapa nataka nikamkope mtaji wa VITUMBUA!!!!!!lol!
Maisha ni mechi isiyo na Sare aidha Uyashinde au Yakushinde
Hashim kipindi yupo Makongo 2003 alikuwa ANAPENDA BATAAAAA! Na sketi nazo alikuwa anazimind, hakauki skonga kwetu kufukuzia sketi, ila alikuwa LOADED na kampani yake si dhani kama alikuwa anauza kahawa ila alikuwa wakuja flani. Basi akawa anasemaga ATAOA WANAWAKE WAREFU MAMISS KAMA Millen Magese. Nikajisemeaga umuoe Millen Ujambeee! Kumbe bana NEVER SAY NEVER!!!!!!!!!!!!!! Hapa nataka nikamkope mtaji wa VITUMBUA!!!!!!lol!
Huyu dogo niliku napanda naye hiace hapo sinza makaburini, wakati yeye akiwa anawahi skul mi nawahi kwa ofisi , jinsi alivyokuwa I don't think kama alishakuwa anauza kashata. Alitoka familia ya kimaskini sawa, lakini si kwa kiwango hicho.