Asulo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 719
- 251
Hakuna mtu anayekuwa na uhakika moja kwa moja kuwa aliyempata ndiyo chaguo lake sahihi hasa kipindi cha mwanzo wa uhusiano.
Binadamu tunakuwa na vipaumbele vyetu ktk kuchagua kitu husika,so utakapopata mwenza kikubwa ni uvumilivu,na busara ili kubaini kuwa huyo uliyempata ndiyo mwenza sahihi au la..Siyo kukurupuka tu kwa kudai mapenzi hayana formula.
Binadamu tunakuwa na vipaumbele vyetu ktk kuchagua kitu husika,so utakapopata mwenza kikubwa ni uvumilivu,na busara ili kubaini kuwa huyo uliyempata ndiyo mwenza sahihi au la..Siyo kukurupuka tu kwa kudai mapenzi hayana formula.