Ooh nah
Tena mimi na wewe tungeendana kweli maana niliona hata birthday zetu zinafanana.
Ooh nah
Hata nilienae tunaendana sana yaniTena mimi na wewe tungeendana kweli maana niliona hata birthday zetu zinafanana.
Hata nilienae tunaendana sana yani
Birth yako lini kwani?
Okay...17th August.
Okay...
Hahahaaa hata malaika hana sifa hizowatu wanataka awe na mtu mwenye kila sifa mpya inayotoka magazetini, movie, bungeni , vitabu vya hadithi,awe mzuri, asiwe na kasoro kimwili&kiroho, awe mchumi,project manager, mchapa kazi, mwenye hela, asiwe mbahili, mwenye kuweka akiba, awe na umbo la kati , awe mchapa kazi, fundi kitandani na kila nikimuhitaji home nimkute sasa cjui anatafuta saangapi[emoji15] [emoji15] [emoji15] utafikiri mchaguaji huyo yeye kakamilikq.
vijana hawajitambui na wote wamegeuka drama qeens&Kings
tuwaombee
Hahahaaa hata malaika hana sifa hizo
Na wanaume siku hizi Kuna neno tunaita "wife material" sijui ndio material aina gani hayo LOL!
yaan huko ndiyo kuna chui wenye ngoz ya kondoo!! Huwa ni wapole xna kabla ya ndoa, ukishafunga ndoa utajuta kumfahamu.Pagumu hapo!
Nilitegemea kupata mke bora huko kwenye Makanisa, na penyewe pamechafuka tu.
Mkuu, nilishapaona ndo nikapakimbia nduki kali.yaan huko ndiyo kuna chui wenye ngoz ya kondoo!! Huwa ni wapole xna kabla ya ndoa, ukishafunga ndoa utajuta kumfahamu.
Mkuu bora ata kwenye daladala kuliko huko maana siku hizi wakisha haribu Maisha yao wanakimbilia huko kujificha kwenye kimvuli cha dini. Sasa mchukue muweke ndani mbona utajuta.Pagumu hapo!
Nilitegemea kupata mke bora huko kwenye Makanisa, na penyewe pamechafuka tu.
Nilishastuka siku nyingi sana Mkuu.Mkuu bora ata kwenye daladala kuliko huko maana siku hizi wakisha haribu Maisha yao wanakimbilia huko kujificha kwenye kimvuli cha dini. Sasa mchukue muweke ndani mbona utajuta.
Yaah!unakuta mtu anamchora kijana wa kiume ama bint na anataka ampate kama akili yake inavyo mtuma.Kwa wenye mtazamo huo na pia ni wengi nawashauri wawaumbe wenyewe kama wanaweza.we ndo wasema, wenyewe watakwambia "you are not a kind of a man/woman am looking for"
chezea ulimbukeni wewe
Hizo presha, kuumia na kulazwa ndio matunda ya kukosekana kwa true lovetrue love ipo sana,
Sema kila mtu na bahati yake,
watu wamelazwa, wamepata presha, wameumia/wameanguka coz of true love.
Na inatokea both to boys and girls,
ipo sana.